Aliniacha baada ya kugundua namiliki bastola

Aliniacha baada ya kugundua namiliki bastola

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Miaka kadhaa iliyopita kabla sijafulia nikiwa kwenye kilele cha ukwasi niliopoa binti mmoja mtoto mzuri sana ila mpekupeku.wale wanawake ukienda bafuni unakuta kaishasoma sms zako zote na kaishakusachi,wale ukilala anachukua kidole chako anaweka kwenye simu ili kufungua biometric password,demu kwa nje mjanja ila sikuelewa ni ushamba au,nilitoka kidogo kwenda dukani one time kurudi nakuta kapekuapekua kabatini na mabegi mlango umerudishiwa, ameshakimbia,nikampigia simu jibu alikonipa sasa!!!Mungu anabipenda kumbe wewe ni jambazi unamiliki silaha .masikini ya Mungu ile silaha naimiliki kihalali kabisa na vibali vilikuwepo ila hakuviona na upekupeku wake.
 
ONLY IN BONGO, ukimiliki silaha wanakushuku wewe ni jambazi
Miaka kadhaa iliyopita kabla sijafulia nikiwa kwenye kilele cha ukwasi niliopoa binti mmoja mtoto mzuri sana ila mpekupeku.wale wanawake ukienda bafuni unakuta kaishasoma sms zako zote na kaishakusachi,wale ukilala anachukua kidole chako anaweka kwenye simu ili kufungua biometric password,demu kwa nje mjanja ila sikuelewa ni ushamba au,nilitoka kidogo kwenda dukani kununua mazagazaga kurudi nakuta kaoekuapekua kabatini na mabegi mlango umerudishiwa,nikampigia simu jibu alikonipa sasa!!!Mungu anabipenda kumbe wewe ni jambazi unamiliki silaha .masikini ya Mungu ile silaha naimiliki kihalali kabisa na vibali vilikuwepo ila hakuviona na upekupeku wake.
 
Hivi kwanini baadhi ya hawa viumbe ni wapekuzi sana? Ni nini hasa huwa wanakitafuta?
Wengi wao ni wezi na pia kutokujiamini kama wapo peke yao kwenye nyumba... Akili zao zinawatuma kua yaweza kua ipo siku atakuta viashiria vya kiwapo mwingine ndani..

Hii hasa inatokea endapo mnaishi mbali mbali yaani kila mtu na maisha yake ila mwanamke huwa anakuja kwako mara kwa mara, kwa kesi ya jamaa hapo ni tata kwa sabu kashasema ni MKE afu ana tabia za kitoto hizo ni janga aisee bila shaka huyo mwanamke ni mwizi na anapenda ugomvi wa kulazimisha!
 
Wengi wao ni wezi na pia kutokujiamini kama wapo peke yao kwenye nyumba... Akili zao zinawatuma kua yaweza kua ipo siku atakuta viashiria vya kiwapo mwingine ndani..

Hii hasa inatokea endapo mnaishi mbali mbali yaani kila mtu na maisha yake ila mwanamke huwa anakuja kwako mara kwa mara, kwa kesi ya jamaa hapo ni tata kwa sabu kashasema ni MKE afu ana tabia za kitoto hizo ni janga aisee bila shaka huyo mwanamke ni mwizi na anapenda ugomvi wa kulazimisha!
Yule ni zaidi ya FBI atakupekua CV ,vyeti,album ya picha,simu,dakika chache tu aneshakujua hadi mshahara wako kwa kuona salary slip
 
Wengi wao ni wezi na pia kutokujiamini kama wapo peke yao kwenye nyumba... Akili zao zinawatuma kua yaweza kua ipo siku atakuta viashiria vya kiwapo mwingine ndani..

Hii hasa inatokea endapo mnaishi mbali mbali yaani kila mtu na maisha yake ila mwanamke huwa anakuja kwako mara kwa mara, kwa kesi ya jamaa hapo ni tata kwa sabu kashasema ni MKE afu ana tabia za kitoto hizo ni janga aisee bila shaka huyo mwanamke ni mwizi na anapenda ugomvi wa kulazimisha!
Mwingine anatumia kigezo cha kufanya usafi kupekua ndani
 
We nawe mzembe sana unahifadhi silaha kizembe vile? angechukua akaondoka nayo ungefanyaje broo!?

Silaha ilinde ili ikulinde!
Kama unaishi mwenyewe ni rahisi kufanya uzembe katika kuifadhi,ika ukiwa na watu ndani hasa mke kutika pande za iringa ataitumua kujiua,joke
 
Kwani akijua mshahara ni tatizo?
Yule ni zaidi ya FBI atakupekua CV ,vyeti,album ya picha,simu,dakika chache tu aneshakujua hadi mshahara wako kwa kuona salary slip
 
Haya
Aliogopa cku moja atasikia twa twa twaaa
 
Back
Top Bottom