Aliniacha baada ya kugundua namiliki bastola

Aliniacha baada ya kugundua namiliki bastola

Miaka kadhaa iliyopita kabla sijafulia nikiwa kwenye kilele cha ukwasi niliopoa binti mmoja mtoto mzuri sana ila mpekupeku.wale wanawake ukienda bafuni unakuta kaishasoma sms zako zote na kaishakusachi,wale ukilala anachukua kidole chako anaweka kwenye simu ili kufungua biometric password,demu kwa nje mjanja ila sikuelewa ni ushamba au,nilitoka kidogo kwenda dukani one time kurudi nakuta kapekuapekua kabatini na mabegi mlango umerudishiwa, ameshakimbia,nikampigia simu jibu alikonipa sasa!!!Mungu anabipenda kumbe wewe ni jambazi unamiliki silaha .masikini ya Mungu ile silaha naimiliki kihalali kabisa na vibali vilikuwepo ila hakuviona na upekupeku wake.
Nimekosa hata cha kucomment
 
kama wewe mwenyewe hueleweki upoje upoje na hujulikani unafanya nini?tarajia wakuzungukao lazima wasikuelewe na ndio maana mtoto wa watu kajiongeza
 
kama wewe mwenyewe hueleweki upoje upoje na hujulikani unafanya nini?tarajia wakuzungukao lazima wasikuelewe na ndio maana mtoto wa watu kajiongeza
Nilikutana nae miaka kadhaa akasema alihisi mi jambazi maana nilikuwa bado kijana ila nilikuwa na hela sana
 
Wanawake hawajiamini kabisa...

Mimi nilikuwa nina mwanamke akitaka 300K nikimpa 200K analalamika mara aseme simuamini. maneno kibao.. Nikaona sio kesi kila mtu aishi maisha yake
 
Hata bila kujikimbiza lakini kitendo cha kupekuapekua kilishampunguzia marks...hakukufaa
 
Me nimekuta lile Bulletproof....
Nikimbieeee au....
 
Back
Top Bottom