Aliniacha baada ya kugundua namiliki bastola

Nimekosa hata cha kucomment
 
kama wewe mwenyewe hueleweki upoje upoje na hujulikani unafanya nini?tarajia wakuzungukao lazima wasikuelewe na ndio maana mtoto wa watu kajiongeza
 
kama wewe mwenyewe hueleweki upoje upoje na hujulikani unafanya nini?tarajia wakuzungukao lazima wasikuelewe na ndio maana mtoto wa watu kajiongeza
Nilikutana nae miaka kadhaa akasema alihisi mi jambazi maana nilikuwa bado kijana ila nilikuwa na hela sana
 
Wanawake hawajiamini kabisa...

Mimi nilikuwa nina mwanamke akitaka 300K nikimpa 200K analalamika mara aseme simuamini. maneno kibao.. Nikaona sio kesi kila mtu aishi maisha yake
 
Niuzie kama bado unao huo mguu wa kuku mkuu
 
Hata bila kujikimbiza lakini kitendo cha kupekuapekua kilishampunguzia marks...hakukufaa
 
Me nimekuta lile Bulletproof....
Nikimbieeee au....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…