Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Ndiyo kitakachomkuta kwa kujifanya mwema sana na kumsaidia, hata kama ana shida kweli basi ajue msaaada wake unamshusha thamaniHahahaha hakuna mwenye habari nae tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo kitakachomkuta kwa kujifanya mwema sana na kumsaidia, hata kama ana shida kweli basi ajue msaaada wake unamshusha thamaniHahahaha hakuna mwenye habari nae tena
Mi naona amchinjie baharini tuNdiyo kitakachomkuta kwa kujifanya mwema sana na kumsaidia, hata kama ana shida kweli basi ajue msaaada wake unamshusha thamani
Huo ndiyo uamuzi wa kiume si kujifanya mshumaa huku unateketeaMi naona amchinjie baharini tu
Ndo maana mzungu katuwekea "block button". Just block her kaja kwako kwa sababu ana shida na anajua wewe ndiye msaada wake kwa sasa. Just move on with your life mtupe huyo ni shetaniJina lake linaanzia na M ni binti wa kaskazini mwa Tanzania mwenye level ya diploma katika upande wa elimu.
Haina upambeHuo ndiyo uamuzi wa kiume si kujifanya mshumaa huku unateketea
Hili neno tuishi nao kwa akili lina maana kubwa sanaIla wakianza vituko huruma yao inahamaga mkoa nadhani[emoji28] huwezi amini kama ndio yeye yani kama vile ni mtu mpya kabisa anavyokugaragaza bila huruma[emoji28]