Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Nitajie handle ya binti ya IG nione kama ni kweli mkaliMa gentlemen hatunaga swagga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie handle ya binti ya IG nione kama ni kweli mkaliMa gentlemen hatunaga swagga
Mnazo sana..hebu dondosha hapa tukuongezee followersMa gentlemen hatunaga swagga
😂😂😂😂😂Nitajie handle ya binti ya IG nione kama ni kweli mkali
😂😂😂😂😂😂😂Mnazo sana..hebu dondosha hapa tukuongezee followers
Hisia bado zipoNyie wote mnachunguliana
Mkuu wewe endelea tu kua bize na mambo yako, atajichanganya tu kuanza kujileta upya.
Na hata kama akijileta, usioneshe shobo zozote, focus kwenye mishe zako zaidi huku ukizidsha mahaba kwa mtima wako.
@ mejakuntaInstagram yako inaitwaje!
@ mejakunta
Itie kwenye maji ya mapovu.......maana wale views watatoka nje kuogopa sabuni machoni😂😂😂😂Naomba kuuliza namna ya kuangalia viewrs wa istagram mfano ukipost video fulan unaona watu kadhaa wameview ila kila nikibonyeza nijui Ni kina Nan inagoma na nimejarib kwa simu tofaut tofut. Ajab Sasa likes unakuwa unajua kabisa Ni fulan na fulan ila viewers kwa ista naona inakuwa ngumu kuona Nan katazama video yako
@shetanikinyweleInstagram yako inaitwaje!
Namnunulia KY jelly kabisa sitaki mzaha safari hiiBado hujamsahau boss maana Kaangalia tu instagram yako umeandika uzi, akikupigia simu?
"" Vitu vyangu tu babu""Vitu vyangu Tu babu .......sema katika waliocheki na yeye namkuta......