Aliniambia yeye ni bikra, kumbe hakuna kitu

Mwanangu story yako inaendana kopy na jamaa yangu hivi ki school
Sema yeye alikua na pisi kali kinyama afu nyeupeeeee

Alihangaika na yeye miaka mi4 yote

Siku asiyotegemea kbsa akapewa ale

Yaaah shemeji yetu alikua sealed kabisa!!
 
Muda wote huo ulikuwa unamhudumia (kumpa pesa) au story tu?

BTW:Above 18 akikuambia ni bikra,kaa radar! Labda awe wa kijijini hasa au mlokole kwelikweli.

Unamuokota mtu kwenye page za kutafuta wachumba online halafu awe bikra!

Si ajabu huyo na mtoto anaye!
 
Mimi nilijua ulivosema hakuna kitu haikuikuta kumbe ilikuwepo bhana sema bikra tu ndo Ilikuwa imesafiri๐Ÿ˜‚
Sikukuta bikira, mi nilikuwa nime andaa na mafuta nilainishe niitoe vizuri kumbe wala hata hakuna haja ya mafuta njia ipo waziiiiii...watu waliniwahi wakala embe kwa kutumia likiwa bado bichi....mimi nilikuwa nasubiri liive lidondoke.

Ila unajua nini, dunia mduara we waache tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ