Alinidanganya kuwa mumewe alikufa kwa stroke kumbe ngoma

Inatisha sana kusema kweli hasa ukitilia maanani pia kuna wale wenye roho mbaya ME na KE ambao wanajua ni waathirika lakini wanafanya makusudi ili kuwaambukiza wengine.

na denda ndio hatari zaidi maana hii miswaki ya kibongo bongo sio salama kabisaaaaa, naogopa mie

hivi unajua kuna wakati nilihisi ukimwi umeisha kabsaaaaa, maana sio kwa kutulia huku,,,,Mungu atusaidie wote
 
Inatisha sana kusema kweli hasa ukitilia maanani pia kuna wale wenye roho mbaya ME na KE ambao wanajua ni waathirika lakini wanafanya makusudi ili kuwaambukiza wengine.
Acha kabisa, Mungu tu atusaidie maana sisi sio wakamilifu

I always pray that kwa kweli, naogopa tu ndo maana nimecheka sana mtoa mada alivyo muoga kama mimi.
 
😂😂😂😂😂 mie nimeshawahi kumkimbia mrembo kweli kweli wakati huo mimi na kinga mbali mbali kabisa halafu yule mrembo Caroline alitokea kunipenda sana. Kutokana na uzuri wake nikajisemea hapa ni kutaka kujiumiza roho yangu bure. KE mzuri kiasi hiki kuanzia utosini hadi kwenye kidole cha mwisho cha mguu. Akitembea tako linatetemeka na mguu ni mguu wa haja na mimi nipenda penda 😂😂😂😂 Sasa wakati bado na debate kuhusu kumnyandua siku hiyo natoka lunch (ofisi zetu zilikuwa jirani) Namuona huyooo anashushwa na jamaa lenye BMW nyekundu na hiyo BMW jamaa aliitumia kama mtama kwa Warembo na aliwala Warembo wengi Dar pia kulikuwa na tetesi kwamba jamaa wa kutoka ile kanda pendwa ni muathirika.
Basi siku ile ndiyo nilihitimisha debate yangu kichwani kwamba yule mrembo sitamvua picchu.
😂😂😂😂




acha kabisa , Mungu tu atusaidie maana sisi sio wakamilifu

i always pray that kwa kweli,,,naogopa tu ndo maana nimecheka sana mtoa mada alivyo mwoga kama mimi
 

Kwahiyo mliachana, ama?? Nini reaction yake baada ya kummwaga???
 
Sure! Ukweli ni kwamba wote tupo ktk risk kubwa ya kuunganishwa ktk glid ya taifa! Tumshkuru Mungu tu Ukimwi wa sasahivi sio mkali kama ule uliomuua Lwambo Luanzo.
The old man lost about 100 killos, licha ya kuwa alikuwa ni mmoja wa watu wenye pesa nyingi sana na alikuwa anakula msosi mzuri
mwanae anasema siku anamuona baba yake kaja kumpokea Airport alishangaa sana mpaka akamuuliza kulikoni
 
Alikua sahihi kukukwambia kilichomuua mumewe maana ukimwi si ugonjwa, alikuwa na ukimwi ila kilichomuua ni hicho alichokwambia.
Bila shaka unamjua vyema huyo mwanamke... Kwa jinsi alivyoelezewa hapa
 
Pole mdau
Lakini kuna taarifa wanadai kwamba mtumiaji mzuri wa ARVs huwa haambukizi kwa sababu viral road yake ni ndogo sana na wadudu wanakuwa kama mateja hivi kwahiyo kama kings zako ziko poa huwezi ambukizwa
Naamini kabisa hiyo ndo salama yako na wala sio condom
Alishalamba koni na unavaa kondom dushe likiwa limelowa mate [emoji1787][emoji1787] halafu eti ndomu ikukinge na wadusu SUBUTU
Asante kwa kushare experience hiyo ya maisha. Ushauri wangu usimwache bi mdogo huyo kama bado unaishi huko. Ila hakuwa mkweli labda alikupenda sana na hakutaka umwache. Vinginevyo ni mdada mzuri amekufaa sana wakati wa nyege so usimbwage zingatia ngono salama na maisha yaendelee.
 
Hii kitu ni hatari sana hata kama unatumia kinga, namaanisha kuna kula denda na denda linaliwa nyama kwa nyama.
So far so good maaambukizi kupitia mate ni asilimia chache mno otherwise viral load kwa huyo partner iwe very high na pia mtu ambaye yupo on regular antiviral medications possibility ya kuambukiza inakua low kiasi anaweza kua kama negative UKIMWI BADO UPO SANA
 
Sure! Ukweli ni kwamba wote tupo ktk risk kubwa ya kuunganishwa ktk glid ya taifa! Tumshkuru Mungu tu Ukimwi wa sasahivi sio mkali kama ule uliomuua Lwambo Luanzo.
Makiadi yule wa TP Mazembe?
 
Tunaitafuta December mosi Hivyo hizo habari mzizoee Wana member wa JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…