Alinikazia enzi hizo, Lakini sasa kaachia. Hii imekaaje?!

Onyesha kwamba wewe mwanaume kama alivo ku ignore na wewe ignore!! Afu mm Huwa si shoboki na pisi zaid ya wiki Moja hata iwe Kali kiasi Gani..2018 _2023 ...huyo asha zeeka....yaani umeanza kufukuzia pisi kabla ya mwendazake hajafariki , kabla akina lema na genge lake hawajalamba asali , enzi hizo world cup winners alikua french , kabla ya Putin hajakinukisha...😁😁 Ukimla utakua ndezi WA mwisho
 
Hahaha 🤣🤣 e
 
Wewe ndiye mume sema tu hana namna ya kukumiliki huko kwingine anaenda baasi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…