Sensei Tai
Senior Member
- May 26, 2022
- 168
- 466
Huyu binti niliwahi kuanzisha nae mahusiano dakika za mwisho mwisho wakati nakaribia kufanya mtihani wa kumaliza mwaka wa tatu chuoni (UE)
Wakati naingia nae kwenye mahusiano yeye alikua anasoma level ya certificate na mimi nilikua namalizia mwaka wa mwisho wa degree yangu ya kwanza.
Baada ya kuingia nae kwenye mahusiano nilikaa baada ya muda kdg nikaomba mbususu lakini akawa ananidengulia nikaona sio kesi siwezi lazimisha hizi mambo, me nikapiga zangu pepa nikamaliza kisha nikarudi zangu Dar es salaam ambapo ni nyumbani ili nipambane na soko la ajira.
Nilivyorudi Dar akawa ananitafuta kama kawaida ila binafsi nikaingia uvivu hata wa kuongea nae na kujibu text zake kwa wakati mana mbususu kaninyima sasa ananitafuta ili iweje na wakati huo tupo mikoa miwili tofauti.
Mungu alinijalia nikapata kazi na nikaoa na kufanikiwa kupata watoto wawili.
Baada ya kukata nae mawasiliano alikuja kunitafuta kama baada ya miaka 4 mbele na nikamwambia bila kuficha kwamba nishaoa na nina familia yangu.
Ili aamini kwamba nimeoa ilibidi nimuonyeshe na picha ya mke wangu ambae kiukweli ni mzuri kuliko yeye na pamoja na picha za watoto wangu.
Huyu binti pamoja na kumpotezea na kumuonesha kwamba sina interest nae bado anaendelea kunitafuta sasa sijui ananitaka nini wakati sijawahi hata kuichakata mbususu yake.
Kuna wakati mpaka nawaza kumwambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki hapa duniani ila bado nafikiria kwamba nimwambie au la.
Mabinti mkiona mwanaume ulikua nae kwenye mahusiano na ameshaoa acheni usumbufu, tafuteni watu wengine wawaoe kuliko kuleta usumbufu usio na ulazima.
Wakati naingia nae kwenye mahusiano yeye alikua anasoma level ya certificate na mimi nilikua namalizia mwaka wa mwisho wa degree yangu ya kwanza.
Baada ya kuingia nae kwenye mahusiano nilikaa baada ya muda kdg nikaomba mbususu lakini akawa ananidengulia nikaona sio kesi siwezi lazimisha hizi mambo, me nikapiga zangu pepa nikamaliza kisha nikarudi zangu Dar es salaam ambapo ni nyumbani ili nipambane na soko la ajira.
Nilivyorudi Dar akawa ananitafuta kama kawaida ila binafsi nikaingia uvivu hata wa kuongea nae na kujibu text zake kwa wakati mana mbususu kaninyima sasa ananitafuta ili iweje na wakati huo tupo mikoa miwili tofauti.
Mungu alinijalia nikapata kazi na nikaoa na kufanikiwa kupata watoto wawili.
Baada ya kukata nae mawasiliano alikuja kunitafuta kama baada ya miaka 4 mbele na nikamwambia bila kuficha kwamba nishaoa na nina familia yangu.
Ili aamini kwamba nimeoa ilibidi nimuonyeshe na picha ya mke wangu ambae kiukweli ni mzuri kuliko yeye na pamoja na picha za watoto wangu.
Huyu binti pamoja na kumpotezea na kumuonesha kwamba sina interest nae bado anaendelea kunitafuta sasa sijui ananitaka nini wakati sijawahi hata kuichakata mbususu yake.
Kuna wakati mpaka nawaza kumwambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki hapa duniani ila bado nafikiria kwamba nimwambie au la.
Mabinti mkiona mwanaume ulikua nae kwenye mahusiano na ameshaoa acheni usumbufu, tafuteni watu wengine wawaoe kuliko kuleta usumbufu usio na ulazima.