Ni kweli nampenda lakini naogopa kumpenda mtu ambaye amenisaliti na kuniumiza kwa sababu anaweza kuwa kikwazo maishani mwangu. Unajua mapenzi ni furaha na sio karaha. Sasa kama mtu alishindwa kuniheshimu hapo hata kama tunapendana vipi si itkuwa kudanganyana. Halafu mimi nafikiri watu wengi wanatembea na MA-EX wao lakini sio mpaka the present one ajue kuwa umetoka nje. IT PAINS JAMANI! ACHA! nashukuru kwa ushauri once again
Mkuu, we endelea mbele huyo hakufai tena...inauma sana..
Nafahamu fika kuwa kumwacha huyu na kumtafuta mwingine ndio solution. Na ndio maana nimekuja hapa ukumbini mwetu. Ila ninachotaka nikufikia uamuzi ulio sahihi na husiokuwa na mazonge na hii ni pamoja na kupata ushauri wenu wadau. Nashukuru sana kwa ushauri Nono. Ila ingekuwa ni wewe hungefanyaje?
unasex nae na condom cku zote. leo anakuja kukwambia ana mimba na alishakutana na huyo ex wake hapo kati ukiwa haupo, kuna cku condom ilipasuka?....kuna walakini hapo bro!
Move on mkuu!..Sikiliza wimbo wa broken strings utanielewa vizuri!...Usipende kupata presha ilhali bado ni kijana na muda+nafasi unayo kuwa na mwingine, focus kwa career yako na ishalaah Mola atakusaidia upate mpenzi tena.
Mi nadhani mshauri mkuu wa swala hili ni moyo wako na feeling zako!
Je bado unampenda na anaweza kuwa mke mzuri yaani mka make it?.. songa mbele
Je humpendi?.. achana naye
Lakini kama bado unampenda nakushauri changamka uchukue kifaa mapema, kwani usipo muoa atakuja pata mwingine ukiwa unakutana naye utatamani ardhi ipasuke ujifiche.. jiulize nafsi yako unamapenzi ya kweli juu yake basi. hilo ndilo kubwa hivyo vijisabau vingine kwangu naona ni vya kitoto!
Watu wanawafumania wake/waume wa ndoa kabisa wana sameheana na bado wanaishi, sembuse boyfriend tena kakwambia mwenyewe? na je unge wakutiliza akiwa anakuficha?
Uamzi ni wako bro!
Move on mkuu!..Sikiliza wimbo wa broken strings utanielewa vizuri!...Usipende kupata presha ilhali bado ni kijana na muda+nafasi unayo kuwa na mwingine, focus kwa career yako na ishalaah Mola atakusaidia upate mpenzi tena.
...chukua karatasi, chora msitari katikati, upande wa kushoto andika mabaya yake, upande wa kulia andika mazuri yake... linganisha kati ya mabaya na mazuri yepi yalozidi mwenzie,..kisha ichane hiyo karatasi kisha amua uachane nae kwa mabaya yake au uendelee nae kwa mazuri yake.
...kama soksi vile,
inategemeana na uvaaji na uvuaji nyamayao. Halafu kuna wale wanaotumia size kubwa kuliko 'mguu' wao, huchelewi ikuta ishavuka ipo kwenye unyayo,... akipitiwa na kale kausingizi baada ya kuuona wavu ndio kabisaaaa 'inamvuka!'
unasex nae na condom cku zote. leo anakuja kukwambia ana mimba na alishakutana na huyo ex wake hapo kati ukiwa haupo, kuna cku condom ilipasuka?....kuna walakini hapo bro!
poleeeeeeee weeeeeeee
"penzi kiti cha basi ukishashuka anapanda mwingine" by mr paul.
Itakuuma zaidi ukimbwaga halafu siku nyingine ukaona ana mtu mwingine.
By the way yeye anakupenda kihivyo kama wewe? If yes then zifanyie kazi tofauti zenu halafu endeleeni na hatua nyingine. It takes a lot of time and energy to invest in a relationship so kaka fikria mara mbili mbili kuanzisha mahusiano mapya.
Ni hayo tu-wishing you the best of luck
Asante sana. Unajua mapenzi kweli husipoyajua ni presha iliyo na kifo cha ghafla sana. Ila namuomba Mungu sana anipe nguvu ya kutatua jambo ili kusema kweli linaniumiza sana kwasababu i want to go forward na maisha ya mbele lakini sina amani moyoni.
Dada Nyamao hakuna siku condom iliwaji kupasuka wala kujivuka. Ilikuwa mechi inaisha salama. Ndio maana siku aliponiambia kuwa anahisi kuwa na mimba nilishtuka na kushangaa sana. Nashukuru kwa ushauri dada
Anakwambia katembea na ex-BF wake juzi juzi tu, mara ana mimba wakati anajua unajua mlikuwa mnatumia condoms kila wakati wa tendo......na wewe bado unashangaa tu? Ama kweli penzi humtia mtu upofu. Ulipaswa kupiga chini long time bro...
Kwa nini uliendelea nae mpaka leo? By the way, umemaliza chuo lini?