Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Ni kweli nampenda lakini naogopa kumpenda mtu ambaye amenisaliti na kuniumiza kwa sababu anaweza kuwa kikwazo maishani mwangu. Unajua mapenzi ni furaha na sio karaha. Sasa kama mtu alishindwa kuniheshimu hapo hata kama tunapendana vipi si itkuwa kudanganyana. Halafu mimi nafikiri watu wengi wanatembea na MA-EX wao lakini sio mpaka the present one ajue kuwa umetoka nje. IT PAINS JAMANI! ACHA! nashukuru kwa ushauri once again
Mkuu, we endelea mbele huyo hakufai tena...inauma sana..