Alinitishia kusambaza picha zangu za utupu kama nisipompa milioni 1. Nilitoa taarifa polisi akakamatwa

Alinitishia kusambaza picha zangu za utupu kama nisipompa milioni 1. Nilitoa taarifa polisi akakamatwa

Mayu

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2010
Posts
7,621
Reaction score
12,505
Wakuu hii issue ni ngumu kidogo naomba tuwe serious kutoa ushauri badala ya kulaumu, shit happens sometimes!

Hebu vaa hivi viatu kisha toa ushauri.

Una familia yako mke na watoto na una mchepuko wako, ghafla mchepuko ambao mnakwenda nao sawa muda wote unatega kamera na kuchukua tukio wakati mna vunja amri ya 6 kwenye chumba chake ulicho msaidia kulipa kodi

Baada ya hapo anakutumia clip kisha ana demand 1M la sivyo anaiuza kwa dada Mange au anaivujisha tu.

Mchepuko umekwanda mbali na kudai kama mbwai mbwai, ukimpeleka tu polisi anaiachia mitandao kwa Da Mange, yupo tayari kurisk lolote ili mradi aipate 1M.

Tafadhali mahubiri na wale wa kwanini uchepuke kaeni pembeni kwanza, majemedari wapangue hii kesi kisha mtafuata baadae.

Usiniulize kama ni mimi au la, toa ushauri tafadhali.

Deadline ni Jumatano.

Nawasilisha.

PROBLEM SOLVED
Nawashukuru sana wadau kwa ushauri wenu wote mliochangia mada

Hao niliowa quote hapo juu niliamua kwenda na ushauri wao

Tulikwenda sawa na Polisi kisha wakamdaka saa6 mchana akalala hadi kesho yake jioni akafunguka kila kitu

Kumbe ana basha wake mwingine ambaye ndio alimpanga kufanya huu ujinga na picha na video alikua nazo pia jamaa

Usiku ulele jamaa akadakwa kwake na yeye ana mke na familia [emoji23][emoji23][emoji23]

Wakapigwa mikwara mingi kituoni na zikawekwa kumbukumbu kwamba iwapo kuna sehemu bado hizi picha/video zipo na zikivuja watawajubika kwa kuonyeshwa mifano na sheria

Madai ikawa tu kurudishiwa garama za usumbufu 330k ambazo ni kama rejesho la 200k zilizo wawezesha wajomba
Yule boya na hawara wake watakua wamekamuliwa parefu sana na polisi, Hatukutaka hata kujua tukasepa na nakala ya maelezo yao

Nashukuru sana wadau
 
Duuh [emoji120]Kwanzaa pole Sana kwa Hali iliyo kukuta,

Pili najua upo katika wakati mgumu Lakin is a unaweza kuwa katika wakati mgumu zaidi mana utakuwa mtumwa wa Hilo jambo unaweza mpa iyo million alafu baadae a kataka Tena zingine mana picha anazo na hujuh anazo ngap na kazi weka wap na wap.

Dawa ni ndogo tuuu mwambie azifanye a nacho taka pesa we humpi. Na kama ange kuwa nashida ya pesa bora ange omba kuliko njia alio tumia ukiingia kwenye huu mtego utakuwa mtumwa na mwsho Uta chukua maamuz magumu ya kukughrim
 
Ongea na police wa Cyber, wape ya brash mia. Wam-shake, aelewe anaweza kwenda jela na kulipa fine ya mamilioni. Huyo mchepuko atafuta mpaka alizosave kwenye cloud. Usiogope kuhusu wife, kama anakujua vzr anajua unachepuka huenda nayeye pia anachepuka.
 
Kama huogopi mwambie avujishe tu jifanye kama huofii chocho lazima atafuta mwenyewe tu.
Kutoa pesa sikushauri, utakua mtumwa, kila akitaka kitu atakutishia kuvujisha video ili umpatie.

Njia nyingine ni kumrekodi na yeye akiwa mtupu, ili ngoma iwe droo, ikishindikana kabisa edit picha zake umueke awe mtu, utakuja kunishukuru baadae. Ila ukitoa pesa jiandae kutoa kila siku.

Njia njingine ni kutafuta alipohifadhi hizo video kama ni simu mnyang'anye, ukifanikiwa kumaliza hilo tatizo na kuchepuka uache.
 
Kama kweli huyo demu kadhamiria basi issue imekwisha kua out of control, atakusumbua tena hata ukimpa hiyo hela

Fanya hivi
Kuanzia sasa hakikisha una record kila kitu kuanzia maongezi sms watsap nk ya vitisho vyake ili akiharibu kweli basi nayeye asipone

Anza kumremba kama unataka kukubali ili upate rekodi ya vitisho vyake vyote kisha umwambie kuwa una rekodi zake zote za vitisho na umtumie asikie kisha mwambie achague kufungwa wewe upate aibu au mambo yaishe
Lazima atakua mdogo hapo

Anza hilo zoezi mara moja
Maana wakina mwijaku walipona sababu alikosekana aliyezisambaza
Kwa vitisho vyake na demand zake utampiga pin
 
Wakuu hii issue ni ngumu kidogo naomba tuwe serious kutoa ushauri badala ya kulaumu, shit happens sometimes!

Hebu vaa hivi viatu kisha toa ushauri.

Una familia yako mke na watoto na una mchepuko wako, ghafla mchepuko ambao mnakwenda nao sawa muda wote unatega kamera na kuchukua tukio wakati mna vunja amri ya 6 kwenye chumba chake ulicho msaidia kulipa kodi

Baada ya hapo anakutumia clip kisha ana demand 1M la sivyo anaiuza kwa dada Mange au anaivujisha tu.

Mchepuko umekwanda mbali na kudai kama mbwai mbwai, ukimpeleka tu polisi anaiachia mitandao kwa Da Mange, yupo tayari kurisk lolote ili mradi aipate 1M.

Tafadhali mahubiri na wale wa kwanini uchepuke kaeni pembeni kwanza, majemedari wapangue hii kesi kisha mtafuata baadae.

Usiniulize kama ni mimi au la, toa ushauri tafadhali.

Deadline ni Jumatano.

Nawasilisha.
Pole! Mwambie avujishe yaishe, jihami kwa mkeo ili mkeo akuhami kwa familia yako mtengenezw mkeo awe upande wako, tunahuruma na tunaelewa! Mkeo atakua baunsa wako hata usijali ila baada ya hapo una lakujifunza
 
Vyovyote iwavyo, USITOE PESA,ukilegeza ukatoa pesa tuuu, utakuwa umekwisha maana ataendelea kudemand tena na tena na tenaaa, na anaweza akakufilisi kabisa.

Wewe muambie afanye atakavyo, mkeo kwanza huenda asijue, na hata akijua basi kaa naye chini mueleze ukweli mzima na kisha muombane msamaha naamini yataisha.

Ila kaa ukijua wanawake wengi ni ngumu sana kuvujisha hayo mambo, ndiyo maana wanaovujishwa sana na wanawake wenyewe sababu wanaume huwa hatuna break na tunaweza kufanya just for fun tuu.
 
Back
Top Bottom