Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Wakuu hii issue ni ngumu kidogo naomba tuwe serious kutoa ushauri badala ya kulaumu, shit happens sometimes!
Hebu vaa hivi viatu kisha toa ushauri.
Una familia yako mke na watoto na una mchepuko wako, ghafla mchepuko ambao mnakwenda nao sawa muda wote unatega kamera na kuchukua tukio wakati mna vunja amri ya 6 kwenye chumba chake ulicho msaidia kulipa kodi
Baada ya hapo anakutumia clip kisha ana demand 1M la sivyo anaiuza kwa dada Mange au anaivujisha tu.
Mchepuko umekwanda mbali na kudai kama mbwai mbwai, ukimpeleka tu polisi anaiachia mitandao kwa Da Mange, yupo tayari kurisk lolote ili mradi aipate 1M.
Tafadhali mahubiri na wale wa kwanini uchepuke kaeni pembeni kwanza, majemedari wapangue hii kesi kisha mtafuata baadae.
Usiniulize kama ni mimi au la, toa ushauri tafadhali.
Deadline ni Jumatano.
Nawasilisha.
PROBLEM SOLVED
Nawashukuru sana wadau kwa ushauri wenu wote mliochangia mada
Hao niliowa quote hapo juu niliamua kwenda na ushauri wao
Tulikwenda sawa na Polisi kisha wakamdaka saa6 mchana akalala hadi kesho yake jioni akafunguka kila kitu
Kumbe ana basha wake mwingine ambaye ndio alimpanga kufanya huu ujinga na picha na video alikua nazo pia jamaa
Usiku ulele jamaa akadakwa kwake na yeye ana mke na familia [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakapigwa mikwara mingi kituoni na zikawekwa kumbukumbu kwamba iwapo kuna sehemu bado hizi picha/video zipo na zikivuja watawajubika kwa kuonyeshwa mifano na sheria
Madai ikawa tu kurudishiwa garama za usumbufu 330k ambazo ni kama rejesho la 200k zilizo wawezesha wajomba
Yule boya na hawara wake watakua wamekamuliwa parefu sana na polisi, Hatukutaka hata kujua tukasepa na nakala ya maelezo yao
Nashukuru sana wadau
Hebu vaa hivi viatu kisha toa ushauri.
Una familia yako mke na watoto na una mchepuko wako, ghafla mchepuko ambao mnakwenda nao sawa muda wote unatega kamera na kuchukua tukio wakati mna vunja amri ya 6 kwenye chumba chake ulicho msaidia kulipa kodi
Baada ya hapo anakutumia clip kisha ana demand 1M la sivyo anaiuza kwa dada Mange au anaivujisha tu.
Mchepuko umekwanda mbali na kudai kama mbwai mbwai, ukimpeleka tu polisi anaiachia mitandao kwa Da Mange, yupo tayari kurisk lolote ili mradi aipate 1M.
Tafadhali mahubiri na wale wa kwanini uchepuke kaeni pembeni kwanza, majemedari wapangue hii kesi kisha mtafuata baadae.
Usiniulize kama ni mimi au la, toa ushauri tafadhali.
Deadline ni Jumatano.
Nawasilisha.
PROBLEM SOLVED
Nawashukuru sana wadau kwa ushauri wenu wote mliochangia mada
Hao niliowa quote hapo juu niliamua kwenda na ushauri wao
Tulikwenda sawa na Polisi kisha wakamdaka saa6 mchana akalala hadi kesho yake jioni akafunguka kila kitu
Kumbe ana basha wake mwingine ambaye ndio alimpanga kufanya huu ujinga na picha na video alikua nazo pia jamaa
Usiku ulele jamaa akadakwa kwake na yeye ana mke na familia [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakapigwa mikwara mingi kituoni na zikawekwa kumbukumbu kwamba iwapo kuna sehemu bado hizi picha/video zipo na zikivuja watawajubika kwa kuonyeshwa mifano na sheria
Madai ikawa tu kurudishiwa garama za usumbufu 330k ambazo ni kama rejesho la 200k zilizo wawezesha wajomba
Yule boya na hawara wake watakua wamekamuliwa parefu sana na polisi, Hatukutaka hata kujua tukasepa na nakala ya maelezo yao
Nashukuru sana wadau