Alipay mkombozi wa biashara kwenye malipo

Alipay mkombozi wa biashara kwenye malipo

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Wachina wanatupeleka kasi kivitendo sana.
Mfumo wa alipay umesaidia sana kulipa wachina kwa haraka bila kutumia njia za kwenda benk kutrans pesa kwa njia nyengine.

Usalama ni mkubwa kwenye matumizi kama ikitokea lolote ni rahisi kupata msaada wa pesa zako.

Alipay imewezesha mfumo wa kulipa kwa alipay to alipay na alipay to benk za china zilizopo kwenye list yake.

Kwa wale wasafiri wa kwenda china matumizi ya kadi mtakuwa mumepunguza na kuanza kutumia alipay kununua kwenye maduka mbalimbali.

Naeleza ili baada kwenda benk kutrans pesa china kuwa na mirorongo mirefu.
Wakati ukitumia alipay ni chap tu.
 
Wachina wanatupeleka kasi kivitendo sana.
Mfumo wa alipay umesaidia sana kulipa wachina kwa haraka bila kutumia njia za kwenda benk kutrans pesa kwa njia nyengine.

Usalama ni mkubwa kwenye matumizi kama ikitokea lolote ni rahisi kupata msaada wa pesa zako.

Alipay imewezesha mfumo wa kulipa kwa alipay to alipay na alipay to benk za china zilizopo kwenye list yake.

Kwa wale wasafiri wa kwenda china matumizi ya kadi mtakuwa mumepunguza na kuanza kutumia alipay kununua kwenye maduka mbalimbali.

Naeleza ili baada kwenda benk kutrans pesa china kuwa na mirorongo mirefu.
Wakati ukitumia alipay ni chap tu.
Mkuu inafanyaje kazi hiyo Alipay? Unalipa maduka gani? Usalama wake ukoje, ela ikopotea inakuwaje? Tuwekee hizi dondoo na nyinginezo hapa kama hutajali.
 
Mkuu inafanyaje kazi hiyo Alipay? Unalipa maduka gani? Usalama wake ukoje, ela ikopotea inakuwaje? Tuwekee hizi dondoo na nyinginezo hapa kama hutajali.
Wachina wameweka sheria ya kuzibiti mifumo ya pesa na ndio maana waliopo wote wachina kwenye kupokea malipo wanafatiliwa.
 
Wachina wanatupeleka kasi kivitendo sana.
Mfumo wa alipay umesaidia sana kulipa wachina kwa haraka bila kutumia njia za kwenda benk kutrans pesa kwa njia nyengine.

Usalama ni mkubwa kwenye matumizi kama ikitokea lolote ni rahisi kupata msaada wa pesa zako.

Alipay imewezesha mfumo wa kulipa kwa alipay to alipay na alipay to benk za china zilizopo kwenye list yake.

Kwa wale wasafiri wa kwenda china matumizi ya kadi mtakuwa mumepunguza na kuanza kutumia alipay kununua kwenye maduka mbalimbali.

Naeleza ili baada kwenda benk kutrans pesa china kuwa na mirorongo mirefu.
Wakati ukitumia alipay ni chap tu.
Ila ina mipaka pia na kingine kuna wakati inazingua lakin ndie mkomboz kwa sasa
 
Mkuu inafanyaje kazi hiyo Alipay? Unalipa maduka gani? Usalama wake ukoje, ela ikopotea inakuwaje? Tuwekee hizi dondoo na nyinginezo hapa kama hutajali.
Kama una line ya vodacom na ni mtumiaji wa mpesa vida wemeweka features ya kulipa bidhaa kupitia alipay kwa kifupi kama ni mtumiaji wa huduma za visa au master card kupitia simu yako iwe voda visa au airtel mastercard (sio bank wala account yako ya bank)

Au kama ni mtumiaji wa paypal basi huduma hizo hazina tofauti na alipay
 
Karibu Simba Cargo tunafanya malipo kwa wafanya baishara China na pesa ikikwama tunabeba dhamana
 
Wachina wanatupeleka kasi kivitendo sana.
Mfumo wa alipay umesaidia sana kulipa wachina kwa haraka bila kutumia njia za kwenda benk kutrans pesa kwa njia nyengine.

Usalama ni mkubwa kwenye matumizi kama ikitokea lolote ni rahisi kupata msaada wa pesa zako.

Alipay imewezesha mfumo wa kulipa kwa alipay to alipay na alipay to benk za china zilizopo kwenye list yake.

Kwa wale wasafiri wa kwenda china matumizi ya kadi mtakuwa mumepunguza na kuanza kutumia alipay kununua kwenye maduka mbalimbali.

Naeleza ili baada kwenda benk kutrans pesa china kuwa na mirorongo mirefu.
Wakati ukitumia alipay ni chap tu.
Jack ma amekulipa Yuan ngapi ilikuja kuipigia promo humu ?
 
ni money laundering sio money rounding. Mifumo ya kidijiti ni njia bora zaidi ya kuzuia money laundering kwa sababu ni rahisi kutrack miamala ilitoka wapi ikaenda wapi kwa urahisi unless utumie mfume ambao hauko centralized kama malipo ya sarafu mtandao.
We jamaa ni mpumbafu afu unajiona unajua! Mimi nimeandika money rounding wewe unaniletea upumbafu wako!!
 
Back
Top Bottom