Alipuuza kuchunguza tabia za kabila uchumbani kwa kuamini ni mambo ya kale, Baada ya ndoa analalamika nyumba imekosa Privacy

Alipuuza kuchunguza tabia za kabila uchumbani kwa kuamini ni mambo ya kale, Baada ya ndoa analalamika nyumba imekosa Privacy

She needs a really talk ila kwa jinsi watu walivyo wanafki pamoja na huyo mume! Kama huyo mume yupo reasonable na hicho anachosema sioni kwa nini wasikae chini wakayaongea hatimaye kukomesha hiyo tabia.
 
Hi kasumbaaa,ya kichukia wageni vijana wa kisasa mmetoa wapi,enzi zetu tulikuwa tunapenda wageni,tuna mashambaa,mifugo,chakula kikipikwa hatupimi,kina pikwa kwenye sufuria kama la sherehe.mgeni siku ya kwanza ya pili,kama ni vijana wote shambani,wengine machungani,kina mama kutafta kuni,na kukamua maziwa
maisha yamebadirika,... mwenye uwezo wa kulisha watu watano milo mitatu, kila siku ,....huyo yupo uchumi wa kati....na wenye uwezo huo kwasasa ni wachache,..hatuna mashamba ya wageni wetu kwenda kulima , wala mifugo ya kwenda kuchunga,....pia family privacy ni muhimu mno,...na nyinyi wageni ndo WABAKAJI wakubwa wa watoto,...HATUWATAKI,... nendeni KWENU,... hatujaoa UKOO wenu, tumeoa mke tu,....
 
Sioi mrangi, mpare wala muarusha kila mwanaume ana sampuli zake wewe elewa hivyo tu kuna Wanaume hatupendi bughuza na makelele makelele tunataka tuishi maisha marefu mpaka 99 o'clock kuelekea 100 sio unaoa mtu unafika 40 kongosho linasumbua ukiulizwa msongamano wa mawazo pressure nayo balaa

Msukuma sioi hapa sitaki kabisa
Mnyakyusa sioi ni kisanga kingine
Muha sioi hili balaa nililokutana nalo nilisema sigusi tena hizi mtu yaan sio mchezo hilo mbilinge lake
Mtutsi sioi wapo kigoma hawa siwagusi tena nilishaapa
Mhutu sioi wapo kigoma sigusi tena hawa watu
Mtaturu sioi
Mnyiramba sioi
Mmakonde sioi
Mrangi sioi
Mhehe sioi hawa hapana sirudii tena
Mfipa sioi
Mmatumbi sioi
Mngoni sioi
Mdigo sioi
Mshambaa sioi kule milimani Lushoto hio
Muhabeshi sioi hii nilikutana nayo moja kilichonikuta sirudii tena
Mkagulu sioi Morogoro hio hawa hapana kabisa sioi
Mchagga & Mpare sioi tena hawa naishi nao kila siku nipo nao nawajua vizuri sana sioi

List ni ndefu ila hao ni baadhi ambao niliwasoma nikaona hapa nitakula za uso piga chini fasta nikapita kushoto kidoogo Mbondei na Mkinga kwa mbaali napenda kusikilizwa sipendi Mwanamke anipande kichwani yaan hao niliowamention hulka zao ni kumpanda Mwanaume kichwani hawasikii wakiambiwa hawapendi kujishusha
mkuu utaoa kabila gani sasa?
 
Ishi kigaidi then ndugu wa mkeo watakuogopa, ukiwa mtu wa kucheka cheka hovyo itakula kwako.
 
Kwangu mgeni siku 2 zinatosha kwa mapumziko na kuyasoma mazingira, baada ya hapo kazi kazi hutaki rudi bush 😹

Hao angekuwa anawapa kazi, tena km majeuri anachukua tenda za saidia fundi wao ndo vibarua wenyewe.. anawachekea
 
Kwangu mgeni siku 2 zinatosha kwa mapumziko na kuyasoma mazingira, baada ya hapo kazi kazi hutaki rudi bush 😹

Hao angekuwa anawapa kazi, tena km majeuri anachukua tenda za saidia fundi wao ndo vibarua wenyewe.. anawachekea
Naomba niwe mgeni wako
 
Ni kijana mdogo tunafahamiana kazini, Hunitazamia kama kaka yake na pindi anapokuwa kwenye changamoto kadhaa za kimaisha hupenda kunishirikisha

Kijana kaoa binti nisingependa kulitaja kabila ili kupunguza presha kwa wenye kabila lao

Ni kwamba ndugu wamekuwa wanajazana mno nyumbani kwao, Mbaya zaidi wengine wanakuja kwa kupishana leo anaondoka flani asubuhi, baada ya muda mfupi mwengine anafika,

Kijana analalamika haikuwa hivyo uchumbani lakini kaanza kuyaona baada ya ndoa, kwake imekuwa kero kwasababu ni mtu asiependa kampani ya watu wengi anapokuwa nyumbani,

Analalamika unajua sikutegemea haya, Privacy imepotea, Ndugu wa mke wanaharibu ratiba, wanaharibu bajeti, hawachangii matumizi, wamemshika mke kichwa, n.k.

Kuwachana live ndugu wa mke sio jambo rahisi, Akimwambia mke awaambie anasema wao ndio maisha yao hawezi.

Mwisho kabisa nimempa wazo la mkakati kabambe wa kutokomeza kijiji kistaarabu kabisa, Kuwa target kwa kutumia udhaifu wao, hawapendi kujishughulisha, hivyo wasichopenda ni kazi na ndicho watachopewa

Nilipomuuliza ni vipi hakutegemea hayo wakati kaoa binti wa kabila husika jibu lake liliniacha hoi, kwamba alidhani siku hizi mambo hayo yalishapitwa na wakati na binti aliemuoa ni msomi wote wamefika chuo.

Nitoe rai kwa vijana wengine, msipuuze haya mambo, mfano ukiambiwa kabila flani ni wasumbufu ukikosa pesa, kabila flani hawapendi nyumba iwe na ndugu wa mume, kabila flan wanajazana, n.k. usikatae moja kwa moja fanya uchunguzi. Kama ilivyo sifa ya sisi watanzania kuwa waoga haimaanishi ni wote ila ukitekwa tegemea kukosa msaada wa wapita njia, basi jua kila kabila lina kitu unique ambacho kinawatofautisha na makabila mengine.
Tabia ni ya mtu binafs haifungaman na maswala ya kabila
 
Wapare hatupo hvy, labla nyie wabena 😏
Mi mkinga, katika makabila ambayo hayalei ujinga na uvivu basi ni kinga’s.
Mgeni akija kwetu anatafutiwa kazi ya kufanya hakuna kuzunguka bila kazi 😹

Ila wapare mnapenda kitonga halafu vivivu na ufupi wenu 😹😹🤣
 
Back
Top Bottom