Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
maisha yamebadirika,... mwenye uwezo wa kulisha watu watano milo mitatu, kila siku ,....huyo yupo uchumi wa kati....na wenye uwezo huo kwasasa ni wachache,..hatuna mashamba ya wageni wetu kwenda kulima , wala mifugo ya kwenda kuchunga,....pia family privacy ni muhimu mno,...na nyinyi wageni ndo WABAKAJI wakubwa wa watoto,...HATUWATAKI,... nendeni KWENU,... hatujaoa UKOO wenu, tumeoa mke tu,....Hi kasumbaaa,ya kichukia wageni vijana wa kisasa mmetoa wapi,enzi zetu tulikuwa tunapenda wageni,tuna mashambaa,mifugo,chakula kikipikwa hatupimi,kina pikwa kwenye sufuria kama la sherehe.mgeni siku ya kwanza ya pili,kama ni vijana wote shambani,wengine machungani,kina mama kutafta kuni,na kukamua maziwa
Mdogo=uvivuHuyo mwanamke lazima atakuwa ni msukuma😂
Umeongea kwa hisia sana shemHuyo mwanamke lazima atakuwa ni msukuma😂
Umetukosea heshima sana mtaniKama sio, basi Muha. Waha wanapenda kujazana sana
Haaa haaa pole wachuuuUmetukosea heshima sana mtani
Ndio namshangaa hao wapare wa wapi.Wapare watoe hapo
mkuu utaoa kabila gani sasa?Sioi mrangi, mpare wala muarusha kila mwanaume ana sampuli zake wewe elewa hivyo tu kuna Wanaume hatupendi bughuza na makelele makelele tunataka tuishi maisha marefu mpaka 99 o'clock kuelekea 100 sio unaoa mtu unafika 40 kongosho linasumbua ukiulizwa msongamano wa mawazo pressure nayo balaa
Msukuma sioi hapa sitaki kabisa
Mnyakyusa sioi ni kisanga kingine
Muha sioi hili balaa nililokutana nalo nilisema sigusi tena hizi mtu yaan sio mchezo hilo mbilinge lake
Mtutsi sioi wapo kigoma hawa siwagusi tena nilishaapa
Mhutu sioi wapo kigoma sigusi tena hawa watu
Mtaturu sioi
Mnyiramba sioi
Mmakonde sioi
Mrangi sioi
Mhehe sioi hawa hapana sirudii tena
Mfipa sioi
Mmatumbi sioi
Mngoni sioi
Mdigo sioi
Mshambaa sioi kule milimani Lushoto hio
Muhabeshi sioi hii nilikutana nayo moja kilichonikuta sirudii tena
Mkagulu sioi Morogoro hio hawa hapana kabisa sioi
Mchagga & Mpare sioi tena hawa naishi nao kila siku nipo nao nawajua vizuri sana sioi
List ni ndefu ila hao ni baadhi ambao niliwasoma nikaona hapa nitakula za uso piga chini fasta nikapita kushoto kidoogo Mbondei na Mkinga kwa mbaali napenda kusikilizwa sipendi Mwanamke anipande kichwani yaan hao niliowamention hulka zao ni kumpanda Mwanaume kichwani hawasikii wakiambiwa hawapendi kujishusha
Mboni nimewataja hapo hujasoma au?mkuu utaoa kabila gani sasa?
Haiwezi wakawa wapareNdio namshangaa hao wapare wa wapi.
Wanyakyusa hawana tabia hizo, kwanza wana dharau hawawezi kukubali kukaa sehemu aliyoolewa dada yake kiholela… labda wapareDemu atakuwa mnyakyusa
Wapare hatupo hvy, labla nyie wabena 😏Wanyakyusa hawana tabia hizo, kwanza wana dharau hawawezi kukubali kukaa sehemu aliyoolewa dada yake kiholela… labda wapare
Naomba niwe mgeni wakoKwangu mgeni siku 2 zinatosha kwa mapumziko na kuyasoma mazingira, baada ya hapo kazi kazi hutaki rudi bush 😹
Hao angekuwa anawapa kazi, tena km majeuri anachukua tenda za saidia fundi wao ndo vibarua wenyewe.. anawachekea
Tabia ni ya mtu binafs haifungaman na maswala ya kabilaNi kijana mdogo tunafahamiana kazini, Hunitazamia kama kaka yake na pindi anapokuwa kwenye changamoto kadhaa za kimaisha hupenda kunishirikisha
Kijana kaoa binti nisingependa kulitaja kabila ili kupunguza presha kwa wenye kabila lao
Ni kwamba ndugu wamekuwa wanajazana mno nyumbani kwao, Mbaya zaidi wengine wanakuja kwa kupishana leo anaondoka flani asubuhi, baada ya muda mfupi mwengine anafika,
Kijana analalamika haikuwa hivyo uchumbani lakini kaanza kuyaona baada ya ndoa, kwake imekuwa kero kwasababu ni mtu asiependa kampani ya watu wengi anapokuwa nyumbani,
Analalamika unajua sikutegemea haya, Privacy imepotea, Ndugu wa mke wanaharibu ratiba, wanaharibu bajeti, hawachangii matumizi, wamemshika mke kichwa, n.k.
Kuwachana live ndugu wa mke sio jambo rahisi, Akimwambia mke awaambie anasema wao ndio maisha yao hawezi.
Mwisho kabisa nimempa wazo la mkakati kabambe wa kutokomeza kijiji kistaarabu kabisa, Kuwa target kwa kutumia udhaifu wao, hawapendi kujishughulisha, hivyo wasichopenda ni kazi na ndicho watachopewa
Nilipomuuliza ni vipi hakutegemea hayo wakati kaoa binti wa kabila husika jibu lake liliniacha hoi, kwamba alidhani siku hizi mambo hayo yalishapitwa na wakati na binti aliemuoa ni msomi wote wamefika chuo.
Nitoe rai kwa vijana wengine, msipuuze haya mambo, mfano ukiambiwa kabila flani ni wasumbufu ukikosa pesa, kabila flani hawapendi nyumba iwe na ndugu wa mume, kabila flan wanajazana, n.k. usikatae moja kwa moja fanya uchunguzi. Kama ilivyo sifa ya sisi watanzania kuwa waoga haimaanishi ni wote ila ukitekwa tegemea kukosa msaada wa wapita njia, basi jua kila kabila lina kitu unique ambacho kinawatofautisha na makabila mengine.
Mi mkinga, katika makabila ambayo hayalei ujinga na uvivu basi ni kinga’s.Wapare hatupo hvy, labla nyie wabena 😏