Alitishia mtu bastola na kumjeruhi alitakiwa kusomewa Ph leo kisha mashahidi tuanze kutoa ushahidi maana kila Mtanzania ameona kwa macho yake

Alitishia mtu bastola na kumjeruhi alitakiwa kusomewa Ph leo kisha mashahidi tuanze kutoa ushahidi maana kila Mtanzania ameona kwa macho yake

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Kwa nini kesi iahirishwe mpaka tarehe 20 Novemba wakati upelelezi umekamilika?

Upelelezi ukikamilika kinachofuata ni kusoma maelezo ya awali yaani Ph.

Sasa hapa kwa nini kesi itajwe tar 20? Hapa mazingira ya rushwa.

Soma Pia:
Pumbavu sana! Mpaka 20? Analindwa na huyu ni mhuni TU! Eti TISS unalala night club na unagombania wanawake Kwa bastola? Kachukue madada POA huko ngenye zimezidi!
 
Kwa nini kesi iahirishwe mpaka tarehe 20 Novemba wakati upelelezi umekamilika?

Upelelezi ukikamilika kinachofuata ni kusoma maelezo ya awali yaani Ph.

Sasa hapa kwa nini kesi itajwe tar 20? Hapa mazingira ya rushwa.

Soma Pia:
Unatoa ushahidi hapo nyuma ya keyboard ya mchina sio 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom