Alitishia mtu bastola na kumjeruhi alitakiwa kusomewa Ph leo kisha mashahidi tuanze kutoa ushahidi maana kila Mtanzania ameona kwa macho yake

Alitishia mtu bastola na kumjeruhi alitakiwa kusomewa Ph leo kisha mashahidi tuanze kutoa ushahidi maana kila Mtanzania ameona kwa macho yake

Ujue Tiharaeeeei kuna ma🦷 wengi wamepenyezwa ila wamesahau majukumu yao wanaponda raha kuliko kazi yao ya asili haya huyu anajidai ni tiharaeiii ila ni ma🦷 yanayojisahau ndo ubaya wa kazi za kupeana hizi
Kumbe ni afisa jino huyo😂
 
tujifunze kuheshimu utawala wa sheria, tusipende sana kuviingilia vyombo vya sheria.
Jambo la msingi kafikishwa kwa Pilato. tuache afanye kazi yake.
 
Back
Top Bottom