Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Kuna mechi huchezwa nje ya uwanja.. Hii ni mojawapo .. Mjini mipango.. Kumbuka huyu ni wa kwetuKwa nini kesi iahirishwe mpaka tarehe 20 Novemba wakati upelelezi umekamilika...
Haya ndo Maghufuri alikua hayaelewi pia....!Kwa nini kesi iahirishwe mpaka tarehe 20 Novemba wakati upelelezi umekamilika?
Upelelezi ukikamilika kinachofuata ni kusoma maelezo ya awali yaani Ph.
Sasa hapa kwa nini kesi itajwe tar 20? Hapa mazingira ya rushwa.
Soma Pia:
Nape alishikiwa bastola enzi za Mwalimu sio!Haya ndo Maghufuri alikua hayaelewi pia....!
Kwani Mtoa mada kaelezea habari ya Nape!?Nape alishikiwa bastola enzi za Mwalimu sio!
Who is Nape?Nape alishikiwa bastola enzi za Mwalimu sio!
Pumbavu sana! Mpaka 20? Analindwa na huyu ni mhuni TU! Eti TISS unalala night club na unagombania wanawake Kwa bastola? Kachukue madada POA huko ngenye zimezidi!Kwa nini kesi iahirishwe mpaka tarehe 20 Novemba wakati upelelezi umekamilika?
Upelelezi ukikamilika kinachofuata ni kusoma maelezo ya awali yaani Ph.
Sasa hapa kwa nini kesi itajwe tar 20? Hapa mazingira ya rushwa.
Soma Pia:
Yule aliyochoma picha ya mheshimiwa kesi yake ilikuwa siku 1 tu...Kwa nini kesi iahirishwe mpaka tarehe 20 Novemba wakati upelelezi umekamilika?
Upelelezi ukikamilika kinachofuata ni kusoma maelezo ya awali yaani Ph.
Sasa hapa kwa nini kesi itajwe tar 20? Hapa mazingira ya rushwa.
Soma Pia:
A citizen of this beloved nation, former minister representing this nation's ruling party, CCM. What else do you need to know cause you seem to be a dude from out of this nation.Who is Nape?
So what?A citizen of this beloved nation, former minister representing this nation's ruling party, CCM. What else do you need to know cause you seem to be a dude from out of this nation.
Huyu ni mpumbavu unalazimisha maku kwa kutumia bastola? Ndio malengo ya kuisajili hiyo bastola? Ngozi Nyeusi hasa wadanganyika ni rubbish kabisa!Kuna mechi huchezwa nje ya uwanja.. Hii ni mojawapo .. Mjini mipango.. Kumbuka huyu ni wa kwetu
Hii itaishia kama kesi ya Afande Fatma Kigondo tu.Kwa nini kesi iahirishwe mpaka tarehe 20 Novemba wakati upelelezi umekamilika?
Upelelezi ukikamilika kinachofuata ni kusoma maelezo ya awali yaani Ph.
Sasa hapa kwa nini kesi itajwe tar 20? Hapa mazingira ya rushwa.
Soma Pia:
Na hatimaye wakamuua kabisa kwa madai kuwa yeye ni sisimizi tu.Yule aliyochoma picha ya mheshimiwa kesi yake ilikuwa siku 1 tu...
Hakuna kesi hapo,tulishasema toka mwanzo,sema jamaa pesa itamtoka 😄Haya ndo Maghufuri alikua hayaelewi pia....!
Unatoa ushahidi hapo nyuma ya keyboard ya mchina sio 🤣🤣🤣🤣🤣Kwa nini kesi iahirishwe mpaka tarehe 20 Novemba wakati upelelezi umekamilika?
Upelelezi ukikamilika kinachofuata ni kusoma maelezo ya awali yaani Ph.
Sasa hapa kwa nini kesi itajwe tar 20? Hapa mazingira ya rushwa.
Soma Pia:
DuhKwa nini kesi iahirishwe mpaka tarehe 20 Novemba wakati upelelezi umekamilika?
Upelelezi ukikamilika kinachofuata ni kusoma maelezo ya awali yaani Ph.
Sasa hapa kwa nini kesi itajwe tar 20? Hapa mazingira ya rushwa.
Soma Pia:
Huyo Hakimu hajaiona Clip?Unatoa ushahidi hapo nyuma ya keyboard ya mchina sio 🤣🤣🤣🤣🤣