Kwani unawaza kuwa analindwa na sheria?Sasa hapa kwa nini kesi itajwe tar 20?
Pimbavu Kabisa YulePumbavu sana! Mpaka 20? Analindwa na huyu ni mhuni TU! Eti TISS unalala night club na unagombania wanawake Kwa bastola? Kachukue madada POA huko ngenye zimezidi!
Ni lazima likitokea tukio hakimu awe ameliona?Huyo Hakimu hajaiona Clip?
Ndio. Kwa hakimu mwenye akili lazima angefuatilia kwa dunia ili aione. Unadhani Dpp huwa anapeleka kesi mahakamani kibwege?Ni lazima likitokea tukio hakimu awe ameliona?
Unataka umPididdy?Tutafute sehemu anayoenda kunywa bia tukamsalimie kiume
You mean Nepi.Who is Nape?
Nimeona picha kwenye page ya millard ayo jamaa majeruhi anaingia mahakamani huku full tabasamu.Kuna mechi huchezwa nje ya uwanja.. Hii ni mojawapo .. Mjini mipango.. Kumbuka huyu ni wa kwetu
Mkuu @ Muuza Kangala hata mie imenipita unaweza kuitupia humu tuidadavue kitaalam?Huyo Hakimu hajaiona Clip?
YesYou mean Nepi.
Sina bandoMkuu @ Muuza Kangala hata mie imenipita unaweza kuitupia humu tuidadavue kitaalam?
Halafu huyu mpenda ngono Kwa kutumia bastola halafu analindwa? Shithole countries!Kweli kabisašÆ
Ujue Tiharaeeeei kuna ma𦷠wengi wamepenyezwa ila wamesahau majukumu yao wanaponda raha kuliko kazi yao ya asili haya huyu anajidai ni tiharaeiii ila ni ma𦷠yanayojisahau ndo ubaya wa kazi za kupeana hiziKikubwa ana kadi ya chama na anafanya kazi Tiharaheiš¤£
YouTube ipo channel kibao.Mkuu @ Muuza Kangala hata mie imenipita unaweza kuitupia humu tuidadavue kitaalam?
Nape alishikiwa bastora mbele ya umati wa watu, Basheti aliingia na mitutu ya bunduki clouds na video zipo.Haya ndo Maghufuri alikua hayaelewi pia....!