Alivyotumbuiza Diamond na wenzake Gabon

Alivyotumbuiza Diamond na wenzake Gabon

d6f3b931713f0b3b5e0b8d1d965f93b4.jpg
 
yuko stegini anafanya yake,heko sana baba tifa.
Amepafom vizuri na amejitahidi sana na alivyotumia kiswahili ilipendeza sana na licha ya kuwa na bendera madensa wake wamevaa nguo zelizo andikwa Tanzania.

In short no matter our differences bu the truth should be told. Domo amefanya vizuri na ameitendea haki nchi yetu.
 
Jamaa kafeli ...kakata viuno hajaimba kachafua bendera

Mimi pia nimeona hilo. Lakini kwa sababu hatupendi kuambiana ukweli kwa ajili ya kuboresha hasa katika international stages kama hii golden chance inabidi kumsifia tu.

Hata hivyo, amafika mbali. Na ana talent. Tumpe support apande juu zaidi.

Hongera Diamond!
 
Amepafom vizuri na amejitahidi sana na alivyotumia kiswahili ilipendeza sana na licha ya kuwa na bendera madensa wake wamevaa nguo zelizo andikwa Tanzania.

In short no matter our differences bu the truth should be told. Domo amefanya vizuri na ameitendea haki nchi yetu.
Nimeipenda sana idea waliyovalishwa dancers wake.
 
Amepafom vizuri na amejitahidi sana na alivyotumia kiswahili ilipendeza sana na licha ya kuwa na bendera madensa wake wamevaa nguo zelizo andikwa Tanzania.

In short no matter our differences bu the truth should be told. Domo amefanya vizuri na ameitendea haki nchi yetu.
Wewe ni mzalendo halisi. ..ubarikiwe. .
 
Mimi pia nimeona hilo. Lakini kwa sababu hatupendi kuambiana ukweli kwa ajili ya kuboresha hasa katika international stages kama hii golden chance inabidi kumsifia tu.

Hata hivyo, amafika mbali. Na ana talent. Tumpe support apande juu zaidi.

Hongera Diamond!
Well said
 
Back
Top Bottom