Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,178
Tangu nilipokuwa shule, mara ya kwanza kusikia msemo Aliye juu mngoje chini nilitatizika sana.
Sikuelewa mtunzi wa msemo huu alikuwa na kinyongo, wivu au kukata tamaa.
Hata hivyo niliishia kuamini kuwa muasisi wa msemo huo alijikubali kuwa yeye ni wa daraja la chini siku zote.
Nadhani msemo ungependeza kama ungekuwa;
Aliye Juu Mfuate Juu au
Aliye Juu Muulize Kafikaje nawe ufike Juu.
Sijui wenzangu mnaonaje?
Sikuelewa mtunzi wa msemo huu alikuwa na kinyongo, wivu au kukata tamaa.
Hata hivyo niliishia kuamini kuwa muasisi wa msemo huo alijikubali kuwa yeye ni wa daraja la chini siku zote.
Nadhani msemo ungependeza kama ungekuwa;
Aliye Juu Mfuate Juu au
Aliye Juu Muulize Kafikaje nawe ufike Juu.
Sijui wenzangu mnaonaje?