Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

25 Mungu akafanya mnyama wa mwitu kwa jinsi zake, na mnyama wa kufugwa kwa jinsi zake, na kila kitu kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Huyo anayetupa hizo hadithi ni nani ??
 
Tumia akili amesema mpaka hapo atakapo kuja mwenye milki akusema habari ya kabila la mwenye milki...yaani mambo ya Israeli na makabila mwisho wake ni kuja kwa yesu..yaani utukufu wa Israeli kama nchi ya makabila 12 mwisho wake ni kuja huyo mwenye milki....wewe nimekuona unataka tu ubishi usio na logic

Soma tena hii aya bila jaziba tena uwe out of box

Genesis 49:10
Fimbo haitaondoka kwa Yuda, wala mtoa sheria katikati ya miguu yake, hata atakapokuja Shilo, naye atakuwa kusanyiko la mataifa.” — Mwanzo 49:10


Sasa ni lazima tujiulize je Yesu alitoka kabila la Yuda?

Ikiwa Yesu hakuwa na baba wa kibinadamu - kama Wakristo wanavyodai, basi jibu ni wazi - hapana.

Mapokeo ya Sura ya mwisho ya kitabu cha Hesabu huonyesha waziwazi kwamba ukoo wa kabila hufuata baba.

Ikiwa baba ya Yesu hakuwa wa kabila la Yuda, basi Yesu hakuwa wa kabila la Yuda.

Ikiwa Yesu hakuwa wa kabila la Yuda, basi aya hii yenyewe inatuambia kwamba hakuwa Masihi.

Zaidi ya hayo, ni lazima ikubaliwe kwamba muda mrefu kabla ya Yesu kuwasili, kabila la Yuda lilikuwa limeacha kutoa viongozi wa kisiasa.

Kwa kifo cha Mfalme Sedekia, (karne tano kabla ya kuzaliwa kwa Yesu) fimbo ya kisiasa ya uongozi iliondoka kutoka kwa kabila la Yuda.
 
Soma tena hii aya bila jaziba tena uwe out of box

Genesis 49:10
Fimbo haitaondoka kwa Yuda, wala mtoa sheria katikati ya miguu yake, hata atakapokuja Shilo, naye atakuwa kusanyiko la mataifa.” — Mwanzo 49:10


Sasa ni lazima tujiulize je Yesu alitoka kabila la Yuda?

Ikiwa Yesu hakuwa na baba wa kibinadamu - kama Wakristo wanavyodai, basi jibu ni wazi - hapana.

Mapokeo ya Sura ya mwisho ya kitabu cha Hesabu huonyesha waziwazi kwamba ukoo wa kabila hufuata baba.

Ikiwa baba ya Yesu hakuwa wa kabila la Yuda, basi Yesu hakuwa wa kabila la Yuda.

Ikiwa Yesu hakuwa wa kabila la Yuda, basi aya hii yenyewe inatuambia kwamba hakuwa Masihi.

Zaidi ya hayo, ni lazima ikubaliwe kwamba muda mrefu kabla ya Yesu kuwasili, kabila la Yuda lilikuwa limeacha kutoa viongozi wa kisiasa.

Kwa kifo cha Mfalme Sedekia, (karne tano kabla ya kuzaliwa kwa Yesu) fimbo ya kisiasa ya uongozi iliondoka kutoka kwa kabila la Yuda.
Nitajie basi huyo mwenye milki anaye nenwa hapo ni nani ? Pia undugu na yesu haupo katika damu bali katika utakatifu na uchamungu ...kumbuka yesu alisema ndugu yake ni yule atendaye mapenzi ya mungu ...wewe akili zako ni ndogo sana ndiyo maana unadhani katika Israel hakuna mbwamwitu yaani watakao tupwa motoni
 
Soma tena hii aya bila jaziba tena uwe out of box

Genesis 49:10
Fimbo haitaondoka kwa Yuda, wala mtoa sheria katikati ya miguu yake, hata atakapokuja Shilo, naye atakuwa kusanyiko la mataifa.” — Mwanzo 49:10


Sasa ni lazima tujiulize je Yesu alitoka kabila la Yuda?

Ikiwa Yesu hakuwa na baba wa kibinadamu - kama Wakristo wanavyodai, basi jibu ni wazi - hapana.

Mapokeo ya Sura ya mwisho ya kitabu cha Hesabu huonyesha waziwazi kwamba ukoo wa kabila hufuata baba.

Ikiwa baba ya Yesu hakuwa wa kabila la Yuda, basi Yesu hakuwa wa kabila la Yuda.

Ikiwa Yesu hakuwa wa kabila la Yuda, basi aya hii yenyewe inatuambia kwamba hakuwa Masihi.

Zaidi ya hayo, ni lazima ikubaliwe kwamba muda mrefu kabla ya Yesu kuwasili, kabila la Yuda lilikuwa limeacha kutoa viongozi wa kisiasa.

Kwa kifo cha Mfalme Sedekia, (karne tano kabla ya kuzaliwa kwa Yesu) fimbo ya kisiasa ya uongozi iliondoka kutoka kwa kabila la Yuda.
Nitajie basi huyo mwenye milki anaye nenwa hapo ni nani ? Pia undugu na yesu haupo katika damu bali katika utakatifu na uchamungu ...kumbuka yesu alisema ndugu yake ni yule atendaye mapenzi ya mungu ...wewe akili zako ni ndogo sana ndiyo maana unadhani katika Israel hakuna mbwamwitu yaani watakao tupwa motoni.
Akili zako ni ndogo nimekuambia kuwa huyo mwenye milki siyo mwenye kabila ya yuda wapi imeandikwa kuwa huyo ajaye ni wakabila la yuda ...hivi mimi nikisema ccm itatawala tanzania hadi atakapo kuja Mungu maana yake Mungu ni ccm 🙄🙄stupid au nikisema marekani atatawala dunia hadi atakapo kuja mungu maana yake Mungu ni mmarekani ?🙄🙄🙄 tumia akili tumia akili .
 
Nitajie basi huyo mwenye milki anaye nenwa hapo ni nani ? Pia undugu na yesu haupo katika damu bali katika utakatifu na uchamungu ...kumbuka yesu alisema ndugu yake ni yule atendaye mapenzi ya mungu ...wewe akili zako ni ndogo sana ndiyo maana unadhani katika Israel hakuna mbwamwitu yaani watakao tupwa motoni

Nikutajie mimi au unitajie wewe maana Yesu siye na kama unasema udugu ni wa kutenda mapenzi ya Mungu , bahati mbaya hiyo aya haisemi hivyo

hapo ndipo hiyo biblia yenu inapojikanganya kwa kuingizwa maneno ya watu

Kabla ya kuzaliwa kwa Yesu, malaika Gabrieli alimwambia Mariamu, “Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake, naye atatawala akiwa mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho.” Luka 1;32,33
Lini Yesu alikuwa mfalme ??
Yohana 36 Yesu akasema, “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Kama ingekuwa hivyo, watumishi wangu wangepigana kuzuia kukamatwa kwangu na viongozi wa Kiyahudi. Lakini sasa ufalme wangu unatoka mahali pengine.”
 
Nikutajie mimi au unitajie wewe maana Yesu siye na kama unasema udugu ni wa kutenda mapenzi ya Mungu , bahati mbaya hiyo aya haisemi hivyo

hapo ndipo hiyo biblia yenu inapojikanganya kwa kuingizwa maneno ya watu

Kabla ya kuzaliwa kwa Yesu, malaika Gabrieli alimwambia Mariamu, “Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake, naye atatawala akiwa mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho.” Luka 1;32,33
Lini Yesu alikuwa mfalme ??
Yohana 36 Yesu akasema, “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Kama ingekuwa hivyo, watumishi wangu wangepigana kuzuia kukamatwa kwangu na viongozi wa Kiyahudi. Lakini sasa ufalme wangu unatoka mahali pengine.”
Wewe ni muislam ? Sasa kama wewe ujui ni nani anaye ongelewa mbona umepachika maneno kuwa huyo mtu ni kabila la yuda ...nimekutolea mifano hapo unaikwepa ...huyo mwenye MILKI AKUTAJWA KABILA LAKE HAPO WACHA KUTUNGA MANENO ...NDIYO MAANA NIKAKUTOLEA MIFANO HIYO MIWILI ILI UJUE UPUUZI WAKO ...NA KAMA NI MUISLAMU BASI UISLAMU NDIYO KITUKO KAMA UNABISHA NIAMBIE NIKUULIZE MASWALI AMBAYO HAKUNA HATA SHEHE ANAWEZA KUKUJIBU ILI WEWE UNIJIBU KUHUSU UISLAMU NA MUHAMAD
 
Nikutajie mimi au unitajie wewe maana Yesu siye na kama unasema udugu ni wa kutenda mapenzi ya Mungu , bahati mbaya hiyo aya haisemi hivyo

hapo ndipo hiyo biblia yenu inapojikanganya kwa kuingizwa maneno ya watu

Kabla ya kuzaliwa kwa Yesu, malaika Gabrieli alimwambia Mariamu, “Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake, naye atatawala akiwa mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho.” Luka 1;32,33
Lini Yesu alikuwa mfalme ??
Yohana 36 Yesu akasema, “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Kama ingekuwa hivyo, watumishi wangu wangepigana kuzuia kukamatwa kwangu na viongozi wa Kiyahudi. Lakini sasa ufalme wangu unatoka mahali pengine.”
Maswali yako hayana akili ...Yesu alijibu ilo swali la yeye kuwa mfalme alipoulizwa na pilato kasome jibu lake . Pia kuhusu kutawala milele na hayo majina ya wachamungu aliyo yataja ni mbinguni siyo duniani ..hapo anataja ndugu katika utakatifu kama nilivyo kuambia..peponi wapo watakatifu wa kila aina na kabila na rangi
 
I wish hao walioandika hizo njozi za hao watu kwenye vitabu tunavyosoma leo ..wangeliweka kila kitu wazi na straight ....tusingekuwa na tofauti hizo

Maswali yako hayana akili ...Yesu alijibu ilo swali la yeye kuwa mfalme alipoulizwa na pilato kasome jibu lake . Pia kuhusu kutawala milele na hayo majina ya wachamungu aliyo yataja ni mbinguni siyo duniani ..hapo anataja ndugu katika utakatifu kama nilivyo kuambia..peponi wapo watakatifu wa kila aina na kab
 
Wewe ni muislam ? Sasa kama wewe ujui ni nani anaye ongelewa mbona umepachika maneno kuwa huyo mtu ni kabila la yuda ...nimekutolea mifano hapo unaikwepa ...huyo mwenye MILKI AKUTAJWA KABILA LAKE HAPO WACHA KUTUNGA MANENO ...NDIYO MAANA NIKAKUTOLEA MIFANO HIYO MIWILI ILI UJUE UPUUZI WAKO ...NA KAMA NI MUISLAMU BASI UISLAMU NDIYO KITUKO KAMA UNABISHA NIAMBIE NIKUULIZE MASWALI AMBAYO HAKUNA HATA SHEHE ANAWEZA KUKUJIBU ILI WEWE UNIJIBU KUHUSU UISLAMU NA MUHAMAD

Wewe umemtaja ni Yesu na wakati Yesu mwenyewe anakataa kuwa milki yake hapo hapa duniani , yaani unampa ufalme Yesu kwa nguvu wakati mwenyewe hautaki 🤣🤣
 
Maswali yako hayana akili ...Yesu alijibu ilo swali la yeye kuwa mfalme alipoulizwa na pilato kasome jibu lake . Pia kuhusu kutawala milele na hayo majina ya wachamungu aliyo yataja ni mbinguni siyo duniani ..hapo anataja ndugu katika utakatifu kama nilivyo kuambia..peponi wapo watakatifu wa kila aina na kabili na rangi

Yaani mfalme mwenye cheo cha Mungu akamatwe akajitetee kwa Pilato aliyemuumba yeye?? , alikuwa akicheza Tamthilia ?
 
I wish hao walioandika hizo njozi za hao watu kwenye vitabu tunavyosoma leo ..wangeliweka kila kitu wazi na straight ....tusingekuwa na tofauti hizo
Kila kitu kipo straight tatizo ni akili za mtu mwenyewe.Injili ya kweli imenyoka kama rula.sema kuna injili feki ndiyo zimepinda pinda.
 
Yaani mfalme mwenye cheo cha Mungu akamatwe akajitetee kwa Pilato aliyemuumba yeye?? , alikuwa akichezaTsmthilia ?
Mbona watu duniani wanaweza kumtukana mungu muumba ya yote na asiwafanye chochote kwa sasa ...kwa hoja yako hiyo ni sawa na mtu aseme kama mungu yupo mbona anatukana na hafanyi chochote ? Tumia akili
 
Wewe umemtaja ni Yesu na wakati Yesu mwenyewe anakataa kuwa milki yake hapo hapa duniani , yaani unampa ufalme Yesu kwa nguvu wakati mwenyewe hautaki 🤣🤣
Nini maana ya haya maneno ya yesu kuwa ....ufalme wake siyo wa hii dunia ? Maana yake ni mfalme ila siyo wa dunia hii ....wewe logic yako ni ndogo hata kuelewa maana.
 
Mbona watu duniani wanaweza kumtukana mungu muumba ya yote na asiwafanye chochote kwa sasa ...kwa hoja yako hiyo ni sawa na mtu aseme kama mungu yupo mbona anatukana na hafanyi chochote ? Tumia akili
Lini Mungu alikamatwa Kariakoo akapelekwa mahakamani Kisutu?Tumia akili , anatukanwa lakini hajakamatwa huyo wenu kakamatwa 😜😜😜
 
Lini Mungu alikamatwa Kariakoo akapelekwa mahakamani Kisutu?Tumia akili , anatukanwa lakini hajakamatwa huyo wenu kakamatwa 😜😜😜
Wewe utakuwa ni shabiki wa mudi boy ...nimeshakujua hoja zako ni kutokubali kushindwa hata ukweli ukiwa mbele yenu😂😂😂
 
Wewe utakuwa ni shabiki wa mudi boy ...nimeshakujua hoja zako ni kutokubali kushindwa hata ukweli ukiwa mbele yenu😂😂😂
Ukweli huu wa Mungu kukamatwa na kushitakiwa mbele ya binadamu aliyemuumba ?? Pilato ? Tena akabaki kujitetea? Toka nje ya box ufikiri upya , The truth will set you free
 
Wewe utakuwa ni shabiki wa mudi boy ...nimeshakujua hoja zako ni kutokubali kushindwa hata ukweli ukiwa mbele yenu😂😂😂

Usinishambulie mimi , jibu hoja ya mungu na mfalme kushitakiwa na wanadamu na kubaki kujitetea mahakamani mbele ya Pilato 😳😳
 
Hoja Ipi??
Kama ni Hoja Ya Mfano wa Mwanadamu Inakosa Authentification kwa sababu imetajwa kwenye Kitabu kimoja tu cha biblia..
Yaani Ufunuo..

Kitabu ambacho Bado kinapata Pingamizi kutoka kwa Wanatheolojia
Kitabu cha ufunuo hakina pingamizi lolote tatizo lenu ni akili zenu kiduchu mlizo .....tuanzie hapa kinaitwa kitabu cha ufunuo ila jina lake kiakili ni kitabu cha "ufuniko" kwanini ni chaufuniko kwa sababu neno ufunuo ni fumbo ambalo jibu lake ni ufuniko ....ukisoma kitabu cha ufunuo utagundua ni ufuniko wa yale yale yaliyo funuliwa wazi kwenye vitabu vya nyuma ndiyo yame sukwa kwenye kitabu cha ufunuo kama fumbo ...kumbe yote yaliyopo kwenye ufunuo yapo wazi kwenye vitabu vingine. Mimi natumia akili kutambua kweli na batili siyo mabaraza uchwara ya madhehebu ya dini
 
Kitabu cha ufunuo hakina pingamizi lolote tatizo lenu ni akili zenu kiduchu mlizo .....tuanzie hapa kinaitwa kitabu cha ufunuo ila jina lake kiakili ni kitabu cha "ufuniko" kwanini ni chaufuniko kwa sababu neno ufunuo ni fumbo ambalo jibu lake ni ufuniko ....ukisoma kitabu cha ufunuo utagundua ni ufuniko wa yale yale yaliyo funuliwa wazi kwenye vitabu vya nyuma ndiyo yame sukwa kwenye kitabu cha ufunuo kama fumbo ...kumbe yote yaliyopo kwenye ufunuo yapo wazi kwenye vitabu vingine.
Unafahamu Chochote Kuhusu Baraza la Wanatheolojia??
Wasomi Wa Elimu Ya dini Nitajie Percentage ya Wasomi wanaoikubali Ufunuo
 
Unafahamu Chochote Kuhusu Baraza la Wanatheolojia??
Wasomi Wa Elimu Ya dini Nitajie Percentage ya Wasomi wanaoikubali Ufunuo
Hayo mabaraza ni upuuzi tu ndiyo wanakuambia kuwa Mungu anazo nafsi 3 hakuna kitu hapo ni mashetani tu ..mimi naujua ufunuo wote na maana yake ni tofauti na wakristo wanavyo danganyana makanisani.kuhusu ufunua nimekuambia ufunuo ni ufuniko maana yake ukikataa ufunuo unakuwa umekataa maandiko yote ya nyuma kabla ya ufunuo kwa sababu ufunuo ni yale yale maandiko ya nyuma ila yamefunikwa kama fumbo ...hivyo ufunuo siyo mafundisho mapya bali ni fumbo la mafundisha ya nyuma
 
Back
Top Bottom