Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Sema chai ndondo,full mzukaKiporo cha wali na maharage na chai ya rangi iliyokolea sukari 🤣🤣🤣.
Kinanipa ari na hamasa ya kuendelea kusogeza maisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema chai ndondo,full mzukaKiporo cha wali na maharage na chai ya rangi iliyokolea sukari 🤣🤣🤣.
Kinanipa ari na hamasa ya kuendelea kusogeza maisha.
Hakuna kuishia hadi uamuriwe kwishaMimi nipo tu nakimbizana na majanga, no retreat no surrender siku yakinizidi niishie zangu
Muda ukifika hamna ujanja unaishia tu ...kifo hakina hurumaHakuna kuishia hadi uamuriwe kwisha
Amatuseme kifo ni kifo tuMuda ukifika hamna ujanja unaishia tu ...kifo hakina huruma
Hali ya uungu ndani yangukwenye Maisha kutokua na sababu ya kuishi kunaua zaidi kuliko njaa na magonjwa, mtu asie na sababu ya kuishi ni rahisi kukata tamaa, kuishi bila kujijali, kuwaza sana starehe, n.k.
Sababu ya kuishi kwa kuogopa kifo ni kwa kila kiumbe, hata panya akibanwa kwenye kona hupata ujasiri wa ajabu wa kujaribu kumrukia paka, binadamu ana sababu za ziada kwa kuwa kapewa akili zaidi na mamlaka.
Je, ni sababu ipi yenye uzito zaidi inakufanya uendelee kuishi?
Natoa mifano michache
A person who has a Why to live for, can bear almost any How.
- Kuishi kwa ajili ya kusaidia watu (mfano kusaidia maskini, kutibu wagonjwa, n,k.)
- Kuishi kwajili ya watu (mfano mke / mume, watoto, n.k)
- Kuishi kulinda mazingira (kupanda miti, usafi wa mazingira, n.k)
- Kuishi kuwa role model (kuwapa vijana hamasa wapambane wawe kama wewe)
- kuishi kutunza utamaduni (kuutunza na kusambaza utamaduni wa jamii yako)