Aigoo
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 3,124
- 2,819
- Thread starter
- #241
No sidhan kama kitu kama hcho chaweza tokea ni interest tu zawatu kuachana sawaHii ndio JF!
Wanakutana humu, wanatongozana humu, wanakubaliana alafu wanagegedana humu humu.
Mwisho wa siku wanaachana then wanaanza kutoleana maneno ya kashfa humu humu!
Yote haya yanafanyika bila wahusika kukutana hata mara moja!
What a wonderful life, sitoki JF asee!