No sidhan kama kitu kama hcho chaweza tokea ni interest tu zawatu kuachana sawaHii ndio JF!
Wanakutana humu, wanatongozana humu, wanakubaliana alafu wanagegedana humu humu.
Mwisho wa siku wanaachana then wanaanza kutoleana maneno ya kashfa humu humu!
Yote haya yanafanyika bila wahusika kukutana hata mara moja!
What a wonderful life, sitoki JF asee!
Nakupendekeza weweUtampata mwaya
HahahahahaahMkimpatia huyu jamaa Kopo mnitafutie na mimi
Uhali gani?Hahahahahaah
Hii ndio JF!
Wanakutana humu, wanatongozana humu, wanakubaliana alafu wanagegedana humu humu.
Mwisho wa siku wanaachana then wanaanza kutoleana maneno ya kashfa humu humu!
Yote haya yanafanyika bila wahusika kukutana hata mara moja!
What a wonderful life, sitoki JF asee!
Nakuhamu tu hapa ndio shida yanguUhali gani?
Get I limefunguliwaaa, sijafika mitaa hiyo simu nyingiUhali gani?
Hata mimi nakuhamu sana.Nakuhamu tu hapa ndio shida yangu
Mimi siendi hadi Ijumaa ndio nitaenda kwa sasa muda hautoshi kwenda kuleGet I limefunguliwaaa, sijafika mitaa hiyo simu nyingi
Haas mm siruhusiwi hats kushiriki, omba ruhusa kwa kaka mkubwa kwanzaHata mimi nakuhamu sana.
Shida yangu nyingine ni hiyo hapo juu, naomba ushirikiano wako
Nahis nitafanya hivyo piaMimi siendi hadi Ijumaa ndio nitaenda kwa sasa muda hautoshi kwenda kule
Wewe nisogezee tu kopo kazi yako itakuwa imeisha.Haas mm siruhusiwi hats kushiriki, omba ruhusa kwa kaka mkubwa kwanza
Sawa haina shidaNahis nitafanya hivyo pia
mbona kicheko kikubwa hivyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
sio kopo ni kapo wanaongeleaWewe nisogezee tu kopo kazi yako itakuwa imeisha.
Kwa uzoefu wako huwezi kushindwa
Mmmmhh kumbeee.sio kopo ni kapo wanaongelea
The teh
Hahahahahah kwa dizaini hii inabidi nifanye kampeniMmmmhh kumbeee.
Nadhani nikipata na hilo neno litakuwa rahisi kulitamka
Umeona eeehhh hapo lazima tupate supporters wengi sana.Hahahahahah kwa dizaini hii inabidi nifanye kampeni
Hahahahahh
Inaweza kuwa visa versa though, ila acha nifanye hiyo kaziUmeona eeehhh hapo lazima tupate supporters wengi sana.
Ebu kinukishe bana niondokane na huu upweke maana unasababisha life expectancy yangu kupungua