Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Hahaha nioneshe couple kisirisiri bas,mana vya wazi na kuanzishiana nyuzi hutakiWeeeee inikute ?itaanzia wapi ... Nipo makini Jolie
Mambo ya kupewa pole za kukushusha sizitaki hata siku moja ......
hahahahaha nimejikuta nacheka mwenyewe. Tuseme basi hata wewe ulishaenda PM kwa wengi ukaja huko na Mima white.Usithubutu kumfungalia uzi mwanamke wa JF kama hujakua na uhakika niwako au utammiliki.( ujinga nikuandika uzi alafu demu anakuambia ,ninamtu !! Alafu mbaya anaongea anacheka kabisaaa na kwa kujinadi ....eti
"" thank youuuu my kaka ila nina mtu tayari ,Mungu atakupa anayekufaa'"" ......
Bro bila shaka utakuja na ID mpya ,kinyume nahapo utawachukia mashe wahumu ,lkn pia utakua umejitengenezea mazingira ya kutokukubalika tena.....( unless uwe makini ktk kucheza na Akili zao) .
Chapili,, hapa ndo mnakosea ,, Mwanamme huwa hatangazi kutafuta date ,, ukitangaza nikutafuta mkee ,lkn hizi za kuanzisha mahusiani sio zakutoa tangazo..
Hizi unawafata PM hata kama wapo mia ,wee mfate mmoja baada ya mwingine alafu finally Njoo nammoja unayemuelewa zaidi na yeye akakuelewa .
Nmesema haya kwasababu , Akili za wanawake bila shaka naww unazijua vzuri tuuu "kwa ajili ya couple" atakuja but not completely into you , nakwajinsi ulivyojichanganua niww unayeonekana mwenye shida kuliko hata atakayekuja.
Sawa ukapate sawa sawa na mapenzi yako.
Kama mimi nilivyokufata nikakuambia ,Yna12 mimi sina mengi nachotaka niwe gundi niuangishe hii 1+2=12..... Kua gundi tuIla kweli uwafuate tu Pm
Weee naye ni mchokozi sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi nmeshauri tu J !!hahahahaha nimejikuta nacheka mwenyewe. Tuseme basi hata wewe ulishaenda PM kwa wengi ukaja huko na Mima white.
ushauri mubashara kabisaaaaaaaaaaaaa, maana sio kwa kubahatisha hukooooooooooooo
teh teh
Cc. CUTE mima
hahahahahah haya mapenzi ya mtandaoni ni shida kwa kweli. uaminifu unatakiwa kwa asilimia kubwa tuMapenzi ya JF magumu sana,unamtongoza mtu anakubali unakula tunda,kesho anakuja na ID mpya ya kwanza anaacha,halafu anaanza kukuchokoza kwa id mpya kujipitisha pitisha,
Ukimtongoza tu atajifanya anakubali halafu sasa anakuja tena na ile ya zamani kama anakujulia hali vile.
Mapenzi bila unafki hayaendi
hahahahahahah nanyamaza Putin jamanWeee naye ni mchokozi sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi nmeshauri tu J !!
Sitaki uchokozi wako[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
Napia ukiona id mpya inakufuatilia sana ujue huyo anakufahamuhahahahahah haya mapenzi ya mtandaoni ni shida kwa kweli. uaminifu unatakiwa kwa asilimia kubwa tu
halafu kama wewe ni Me akijipitisha same KE mwambie kwetu tuliambiwa tusithubutu kutowasaidia wanawake na hapo atakoma kukuchokoza.
teh teh
[emoji23][emoji23]Kama mimi nilivyokufata nikakuambia ,Yna12 mimi sina mengi nachotaka niwe gundi niuangishe hii 1+2=12..... Kua gundi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema haki ya MunguMapenzi ya JF magumu sana,unamtongoza mtu anakubali unakula tunda,kesho anakuja na ID mpya ya kwanza anaacha,halafu anaanza kukuchokoza kwa id mpya kujipitisha pitisha,
Ukimtongoza tu atajifanya anakubali halafu sasa anakuja tena na ile ya zamani kama anakujulia hali vile.
Mapenzi bila unafki hayaendi
Haaaaa naanzaje kupita kimya kimya wakati unajua nakupenda ? NitakufatanPM basi ,maana naona unasingizia dhambi sasa nibora nifanye kweli tu .hahahahahahah nanyamaza Putin jaman
napita tu, kicheko kimenifanya nishindwe kupita kimya kimya, ila ungenijibu kidogo bhana
nimeshtukia hata mimiNapia ukiona id mpya inakufuatilia sana ujue huyo anakufahamu
Ilo tabasamu linaashiria km nigundi mimi ni gundi ya kuunganishia mbao yaaan namanisha gundi inayonata sanaaa na kudumu.[emoji23][emoji23]
Naona hii siti unaipambania kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kaka Jose kaniachiaNaona hii siti unaipambania kweli
Utaonamwona tu anakuja kulike .Hahaha nioneshe couple kisirisiri bas,mana vya wazi na kuanzishiana nyuzi hutaki
hahahahahah nitafukuzwa ofisini niache, pm mimi sinaga ujueHaaaaa naanzaje kupita kimya kimya wakati unajua nakupenda ? NitakufatanPM basi ,maana naona unasingizia dhambi sasa nibora nifanye kweli tu .
Endelea kuchekaaaa[emoji6]
Huuuuuuu usiwe na PM wee waziri mkuu wako niyupi?? Dooohhhhhahahahahah nitafukuzwa ofisini niache, pm mimi sinaga ujue
check hata status yangu ni tofauti
teh teh