Aliye tayari kuwa 'new couple' special kwa ajili ya JF

Aliye tayari kuwa 'new couple' special kwa ajili ya JF

Usithubutu kumfungalia uzi mwanamke wa JF kama hujakua na uhakika niwako au utammiliki.( ujinga nikuandika uzi alafu demu anakuambia ,ninamtu !! Alafu mbaya anaongea anacheka kabisaaa na kwa kujinadi ....eti

"" thank youuuu my kaka ila nina mtu tayari ,Mungu atakupa anayekufaa'"" ......

Bro bila shaka utakuja na ID mpya ,kinyume nahapo utawachukia mashe wahumu ,lkn pia utakua umejitengenezea mazingira ya kutokukubalika tena.....( unless uwe makini ktk kucheza na Akili zao) .

Chapili,, hapa ndo mnakosea ,, Mwanamme huwa hatangazi kutafuta date ,, ukitangaza nikutafuta mkee ,lkn hizi za kuanzisha mahusiani sio zakutoa tangazo..

Hizi unawafata PM hata kama wapo mia ,wee mfate mmoja baada ya mwingine alafu finally Njoo nammoja unayemuelewa zaidi na yeye akakuelewa .

Nmesema haya kwasababu , Akili za wanawake bila shaka naww unazijua vzuri tuuu "kwa ajili ya couple" atakuja but not completely into you , nakwajinsi ulivyojichanganua niww unayeonekana mwenye shida kuliko hata atakayekuja.

Sawa ukapate sawa sawa na mapenzi yako.
hahahahaha nimejikuta nacheka mwenyewe. Tuseme basi hata wewe ulishaenda PM kwa wengi ukaja huko na Mima white.
ushauri mubashara kabisaaaaaaaaaaaaa, maana sio kwa kubahatisha hukooooooooooooo

teh teh

Cc. CUTE mima
 
hahahahaha nimejikuta nacheka mwenyewe. Tuseme basi hata wewe ulishaenda PM kwa wengi ukaja huko na Mima white.
ushauri mubashara kabisaaaaaaaaaaaaa, maana sio kwa kubahatisha hukooooooooooooo

teh teh

Cc. CUTE mima
Weee naye ni mchokozi sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi nmeshauri tu J !!

Sitaki uchokozi wako[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
 
Mapenzi ya JF magumu sana,unamtongoza mtu anakubali unakula tunda,kesho anakuja na ID mpya ya kwanza anaacha,halafu anaanza kukuchokoza kwa id mpya kujipitisha pitisha,

Ukimtongoza tu atajifanya anakubali halafu sasa anakuja tena na ile ya zamani kama anakujulia hali vile.

Mapenzi bila unafki hayaendi
hahahahahah haya mapenzi ya mtandaoni ni shida kwa kweli. uaminifu unatakiwa kwa asilimia kubwa tu
halafu kama wewe ni Me akijipitisha same KE mwambie kwetu tuliambiwa tusithubutu kutowasaidia wanawake na hapo atakoma kukuchokoza.

teh teh
 
Mapenzi ya JF magumu sana,unamtongoza mtu anakubali unakula tunda,kesho anakuja na ID mpya ya kwanza anaacha,halafu anaanza kukuchokoza kwa id mpya kujipitisha pitisha,

Ukimtongoza tu atajifanya anakubali halafu sasa anakuja tena na ile ya zamani kama anakujulia hali vile.

Mapenzi bila unafki hayaendi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema haki ya Mungu
 
hahahahahahah nanyamaza Putin jaman
napita tu, kicheko kimenifanya nishindwe kupita kimya kimya, ila ungenijibu kidogo bhana
Haaaaa naanzaje kupita kimya kimya wakati unajua nakupenda ? NitakufatanPM basi ,maana naona unasingizia dhambi sasa nibora nifanye kweli tu .

Endelea kuchekaaaa[emoji6]
 
Mkulu mwenyewe anatulisha tango pori ije kua kina mj na d nanihii
 
Inapendeza sana...

Ukiwa mkweli na mwenye mapenzi ya kweli na una maanisha kua nae huyo atakayekukubalia mtadumu sana...

Ila kama unataka waku show off na kuchat chat kama hivyo unavyosema mwenyewe...

Utapotea.. na utasikitisha sana...


Cc: mahondaw
 
Haaaaa naanzaje kupita kimya kimya wakati unajua nakupenda ? NitakufatanPM basi ,maana naona unasingizia dhambi sasa nibora nifanye kweli tu .

Endelea kuchekaaaa[emoji6]
hahahahahah nitafukuzwa ofisini niache, pm mimi sinaga ujue
check hata status yangu ni tofauti

teh teh
 
hahahahahah nitafukuzwa ofisini niache, pm mimi sinaga ujue
check hata status yangu ni tofauti

teh teh
Huuuuuuu usiwe na PM wee waziri mkuu wako niyupi?? Dooohhhh

Au umeifunga?? Nifungulie basi mimi sina madhara hataaaaaaaaaaaa nipo nipo tuuu[emoji28][emoji8]
 
Back
Top Bottom