Aliye tayari kuwa 'new couple' special kwa ajili ya JF

una uhakika ni nyoka ambaye hana sumu?

teh teh
nitamwomba mshana apige ramli kwanza kabla.

Cc. mshana jr
Yaaan mwenzio akuuuu sina hata chasumu wee kaulize hata mshana au nabii tito wote watakuambia Putin nimtu wawatu!!!

Ila nakuomba plzzzz usiende kwa mng'oa kucha ...kwanza aka kakomenti asikaone kabisaaa...ibaki kua siri yako.
 
Sidhan kama jf ni sehemu sahihi ya kupata mwenza sahihi
 
Putin upoo
 
Sawa mkuu nimekuelewa sana.ur the best ila swali langu la kizushi inaonyesha u don't believe mahusiano ya kimtandao.. we upande wako hujawahi pata couple humu mkaenda fresh au ndo kuhit and run..!
 
Toa sifa zako. Ni vema ukataja na umri wako maana ili muendane kwenye kuchati na kila kitu, umri una matter.
Mkataba wa muda gani?
Kipindi cha majaribio?
Daaah aiseee naami umr si kigezo sana coz weng tuliopo humu hatupishan sana al in al wote vijana
 
Hongera kwa uthubutu kuliko ungekaa nalo moyoni ila kwa ushauri tu mademu wa humu wataishia kukuchora tu kwa hizo swaga zako ushaonekana wa malinyi ulanga.

Demu wa humu hatongozwi kwa tangazo, ungekuja na mapigo flani hivi ya ki gentlemen kuwasifia sifia post zao kama mwanangu daby,,, kisha unadondoka p.m week isingeisha bila kuopoa kimwali kama una mistari adimu na hekaya kama za mstaafu kutoka msowger.

Ila sio hatari we sikilizia kali tu mwanetu huwenda ukakamata hata loose ball hazikosekanagi!
 
Kwa ushaur bora nikae nao mbali tu mkuu..but just couple kwa jf
 
Kwani huyu jamaa alikuwa serious?! Sio mambo ya chit chat
 
Yaaan mwenzio akuuuu sina hata chasumu wee kaulize hata mshana au nabii tito wote watakuambia Putin nimtu wawatu!!!

Ila nakuomba plzzzz usiende kwa mng'oa kucha ...kwanza aka kakomenti asikaone kabisaaa...ibaki kua siri yako.
hahahahhaah huyu jamaa anaogopwa hata na mimi unahisi ni mchezo
mie kuripoti naanzaje? ndo maana nimeona mnyonge wangu ni mshana tu

teh teh

CC mshana jr
NB: mimi nahitaji uaguzi tu usije kusema navunja couple yako mkuu, kwanza Demiss is my best frendo siwezi hata thubutu
 
Sawa mkuu nimekuelewa sana.ur the best ila swali langu la kizushi inaonyesha u don't believe mahusiano ya kimtandao.. we upande wako hujawahi pata couple humu mkaenda fresh au ndo kuhit and run..!
Hapana ninayaamini nayapi kabisaa namimi mwenyewe nimfaidika wahii mitandao na niko sawa kabisa bro.

Nilichokusudia hapo.,, ni kujaribu kukuonyesha upendo halisi unaotaka namna gani upatikane ,, kwann ujiminye minye mkuu .

Ujue wadada wanataka kuonekana wenye thaman na thaman yake umeionana kakuvutia ... Sasa hii yako inamfanya anjiandaa kiakili kuwa hapa tutakua wengi kwaiyo mpaka intavyuuu iishe ,wakati mwingine ningumu kuamini kma hao wengine walokufata umewaacha kabisaaa...unajua niweng wa wivu sana hawa viumbe.


Kwaiyo nivema hata km umewapenda nawapo kibao ,wee mfate mmoja mmoja ,utashangaa yaan unakuja kua na strong rekatioship naambayo imeanzia from nowhere nahiyo ndo inakuaga mahusiano mtamu ambayo nyote mlijikuta mioyo imeendana kabisa.

Tofauti nahiii ,,,hii ingefaa km unatafuta mke kabisaa..... Lkn kwa ajili ya mahusiano...jitupe PM mkuu , nahapo ndo atahesabu Uanamme wako ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…