Natabiri mwezi April utakuwa mwezi wa Jolie Jolie kama ulivyokuwa mwezi February kwa Mzigua90 na March kwa Demiss.. January naona tulisahauliana-vyumaa!.. Tatizo nani ataanza kutandaza uziii!!?....Me nahangaika naye inbox hakuna namna[emoji2]).Napendekeza jolie jolie
Nampendekeza huyu bibi Nayer6Tafta mpya
Nakuambia ivi nmekomaaaaaa , sikufati PM tena nakama ni kukutongoza ,nitakutongozea hapa hapa jukwaaan.sasa niishi kwa wazazi hawana gari niolewe tena na ambae hana? akhuuu mie niache kabisaaaaaaaaaaaa
Naona umejiongezea siku na Putin is above all the realist .Mbavu zangu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisa kuna vitu vina tokea humu mpaka unashangaa nmelishwaje tango pori hivi
Nimecheka sanaNaona umejiongezea siku na Putin is above all the realist .
Sawa sawa mkuu !! Ndo hali zetu tulizonaz humu.Nimecheka sana
Ni kweli kabisaSawa sawa mkuu !! Ndo hali zetu tulizonaz humu.
Naomba jje's Akirudi mwambie anipe BOOK!!!Ni kweli kabisa
haha haaaa puttin bhanaaaUsithubutu kumfungalia uzi mwanamke wa JF kama hujakua na uhakika niwako au utammiliki.( ujinga nikuandika uzi alafu demu anakuambia ,ninamtu !! Alafu mbaya anaongea anacheka kabisaaa na kwa kujinadi ....eti
"" thank youuuu my kaka ila nina mtu tayari ,Mungu atakupa anayekufaa'"" ......
Bro bila shaka utakuja na ID mpya ,kinyume nahapo utawachukia mashe wahumu ,lkn pia utakua umejitengenezea mazingira ya kutokukubalika tena.....( unless uwe makini ktk kucheza na Akili zao) .
Chapili,, hapa ndo mnakosea ,, Mwanamme huwa hatangazi kutafuta date ,, ukitangaza nikutafuta mkee ,lkn hizi za kuanzisha mahusiani sio zakutoa tangazo..
Hizi unawafata PM hata kama wapo mia ,wee mfate mmoja baada ya mwingine alafu finally Njoo nammoja unayemuelewa zaidi na yeye akakuelewa .
Nmesema haya kwasababu , Akili za wanawake bila shaka naww unazijua vzuri tuuu "kwa ajili ya couple" atakuja but not completely into you , nakwajinsi ulivyojichanganua niww unayeonekana mwenye shida kuliko hata atakayekuja.
Sawa ukapate sawa sawa na mapenzi yako.
hahaaaa hahaaaaa ....wapenzi wa Jf.....OyeeeeeeeeeMapenzi ya JF magumu sana,unamtongoza mtu anakubali unakula tunda,kesho anakuja na ID mpya ya kwanza anaacha,halafu anaanza kukuchokoza kwa id mpya kujipitisha pitisha,
Ukimtongoza tu atajifanya anakubali halafu sasa anakuja tena na ile ya zamani kama anakujulia hali vile.
Mapenzi bila unafki hayaendi
Usitake kuniambia ni mimi???Siumeona umeshalike ??? Mwenyewe.
Nakwann usiwe wewe na unakila sababu ya kua wewe !!!Usitake kuniambia ni mimi???
hahahàaaaa...najua hautumiagi vilevi ....lakini Nina mashaka leo utakuwa umevuta aiseee...daaahh. hhaaaahaNdo hali halis, mie sinimeshaona jamaa wanajitia wazimu nakufungulia watu nyuzi ilihali hawajawa na uhakika km wako in relationship au hapana !!
Kwa taarifa nikwamba kuna watu wanadate humu ndani chini chinj yaa kimyaaaa bila sauti ,watu wananjenjana polepole tu bila kupiga yowe.
Alafu kesho unamwanzishia uz weeeeeeeed nai kasema ...utajibia tuu
** hahahahahahahahah asante my dear ila umechelewa my mkaka mzurii ,nishawaiwa mimiiiii****
Alafu sekunde tatu,,, unaona Bwanake analike post yako ,analike na komenti ya demu wake.
Dadeki ,,, kama hautotaman kuufuta huo uzi ?? Nahivi mods wenyewe mpaka uwabembelezeee ,,, basi itajikuta kila lisaaa unaanzisha vinyuzi vya ajabu ajabu ili viisikumie mbali iyo nyuzi yako yakumhusu demu ..
Hawa ndo wadada wa Jamiiforums na wakaka zao !![emoji3][emoji3][emoji3]
aiseeee ..hii inaitwa kufikiri nje ya box aiseeee """hahahahaha nimejikuta nacheka mwenyewe. Tuseme basi hata wewe ulishaenda PM kwa wengi ukaja huko na Mima white.
ushauri mubashara kabisaaaaaaaaaaaaa, maana sio kwa kubahatisha hukooooooooooooo
teh teh
Cc. CUTE mima
Nakuambia ivi nmekomaaaaaa , sikufati PM tena nakama ni kukutongoza ,nitakutongozea hapa hapa jukwaaan.
J i can make you say " i love you"