Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Ilo ndo lamsingiWaendee tu pm mkuu kati ya 100 utapata 1...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo ndo lamsingiWaendee tu pm mkuu kati ya 100 utapata 1...
Hahahaha kweli kabisaa , alafu mkuu yupo humo 2015 lkn bado hajajua wadada wahumu nn wanataka !!Amuulize smart Nadhani ana uzoefu wa kutosha kwa cc wake... Sorry for reference smart and cc...
Umenchekesha sanaNaona umecheka Jolie
Watu wa huku wajanja sana,unakuta ana account kama 3,na kila moja ina mpenzi wake tofauti,kwenye id hii mahaba na huyu,kwenye Id nyingine ana mahaba na mwingine.Yamekukuta ndugu hahahahha.
Hata hivyo siyo kwenye mapenzi tuu Bali Tz bila unafiki haiwezekani
Ndo hali halis, mie sinimeshaona jamaa wanajitia wazimu nakufungulia watu nyuzi ilihali hawajawa na uhakika km wako in relationship au hapana !!Umenchekesha sana
Nakukubali Siti Ya Mbele Kama Kawaida Yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahhahaha "pole my kaka nimeshawahiwa mimi" hihihiiii em kwanza nikae chini nchekeNdo hali halis, mie sinimeshaona jamaa wanajitia wazimu nakufungulia watu nyuzi ilihali hawajawa na uhakika km wako in relationship au hapana !!
Kwa taarifa nikwamba kuna watu wanadate humu ndani chini chinj yaa kimyaaaa bila sauti ,watu wananjenjana polepole tu bila kupiga yowe.
Alafu kesho unamwanzishia uz weeeeeeeed nai kasema ...utajibia tuu
** hahahahahahahahah asante my dear ila umechelewa my mkaka mzurii ,nishawaiwa mimiiiii****
Alafu sekunde tatu,,, unaona Bwanake analike post yako ,analike na komenti ya demu wake.
Dadeki ,,, kama hautotaman kuufuta huo uzi ?? Nahivi mods wenyewe mpaka uwabembelezeee ,,, basi itajikuta kila lisaaa unaanzisha vinyuzi vya ajabu ajabu ili viisikumie mbali iyo nyuzi yako yakumhusu demu ..
Hawa ndo wadada wa Jamiiforums na wakaka zao !![emoji3][emoji3][emoji3]
Basi Viol Mimi nakupenda weweWatu wa huku wajanja sana,unakuta ana account kama 3,na kila moja ina mpenzi wake tofauti,kwenye id hii mahaba na huyu,kwenye Id nyingine ana mahaba na mwingine.
Yan nimewahi kuja kucheka hukuNakukubali Siti Ya Mbele Kama Kawaida Yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mashindano sisi wengine watamazaji tuuuAiseeee........ naona Jf imebadilika kwa kasi ya ajabu kuliko mwendo wa treni ya mwendo kasi...... Yaani kapo zimekua ndio headlines zinazo tamalaki kwa kasi kila kukicha.....tehteehh..... all the best mkuu
Chukua Nafasi Iyo Dada AnguYan nimewahi kuja kucheka huku
Wanatafuta Haki sawa nao eti wawe na zaidi ya mmoja. Mambo yamepinduka siku hizi aiseeWatu wa huku wajanja sana,unakuta ana account kama 3,na kila moja ina mpenzi wake tofauti,kwenye id hii mahaba na huyu,kwenye Id nyingine ana mahaba na mwingine.
Weeeee inikute ?itaanzia wapi ... Nipo makini JolieHahahahhahaha "pole my kaka nimeshawahiwa mimi" hihihiiii em kwanza nikae chini ncheke
We imeshakukuta ee??
Acha tu mkuu halafu sasa ni id usilotarajiaWanatafuta Haki sawa nao eti wawe na zaidi ya mmoja. Mambo yamepinduka siku hizi aisee
Nimekosa vigezoChukua Nafasi Iyo Dada Angu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimekosa vigezo