Aliyebaka na Kuua Mke wa Mwenyekiti Akamatwa..Njaa Yamtoa Mafichoni

Aliyebaka na Kuua Mke wa Mwenyekiti Akamatwa..Njaa Yamtoa Mafichoni

Silaha ya mauaji imepatikana ?

Vinasaba vya mtuhumiwa vipo kwenye utupu wa mhanga ?

Alama za vidole vya mtuhumiwa vimeonekana kwenye silaha au mwili wa mhanga ?

Suspect is entitled to a presumption of innocence and competent defense.
Watoto wa shangazi hawawezi kosea
 
Ni ajabu sana. Kwa nini upotee!?
Unajua kwa tukio la mtu kuona marehemu kuna mwengine linaweza kumpa wasi wasi na ikaonesha mazingira kama kahusika.
Ulipata hii.
images%20(9).jpg
 

Attachments

  • images%20(9).jpg
    images%20(9).jpg
    35.6 KB · Views: 1
Nahisi pia huyo jamaa atakuwa na matatizo ya Akili.
Embu waza haya.
-Hakuwa na mahali pa kuishi (ana tanga tanga)
-Kubaka mtu
-Kuua aliyembaka
-Kupotelea vichakani
-Kurejea mazingira anayofahamika.
Asee hata mie nliwaza hivyo kabisa
 
Back
Top Bottom