Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Kama mtu wa maana.Ukiangalia kama huyu sio muhusika kabisa labda kutokana na hofu wakati lishatokea.
Mimi bado linanipa mashaka .huko mikoani kuna vijana ukiwaona majumba mabovu yana wakuta View attachment 2525450
Possibly true [emoji1]Nahisi pia huyo jamaa atakuwa na matatizo ya Akili.
Embu waza haya.
-Hakuwa na mahali pa kuishi (ana tanga tanga)
-Kubaka mtu
-Kuua aliyembaka
-Kupotelea vichakani
-Kurejea mazingira anayofahamika.
Polisi hawa hawa wa-tz [emoji848]Wanadamu wakiamua kulibeba jambo ogopa.
Kwa ulichokisema bado kufikia mauaji na kubaka mimi.bado na mashaka.
Kuna mazingira ila tusubiri jeshi la polisi litakuja na ukweli au mungu mwenyewe
Kwanini??
Muhusika anayo alama? Tena hawa primitives kama hawa ni hatari, elimu ni tatizo.Ukiangalia kama huyu sio muhusika kabisa labda kutokana na hofu wakati lishatokea.
Mimi bado linanipa mashaka .huko mikoani kuna vijana ukiwaona majumba mabovu yana wakuta View attachment 2525450
Watoto wa shangazi hawawezi koseaSilaha ya mauaji imepatikana ?
Vinasaba vya mtuhumiwa vipo kwenye utupu wa mhanga ?
Alama za vidole vya mtuhumiwa vimeonekana kwenye silaha au mwili wa mhanga ?
Suspect is entitled to a presumption of innocence and competent defense.
Ni ajabu sana. Kwa nini upotee!?Hujaua na hujahusika unatafutwa na umepotea.
Unajua kwa tukio la mtu kuona marehemu kuna mwengine linaweza kumpa wasi wasi na ikaonesha mazingira kama kahusika.Ni ajabu sana. Kwa nini upotee!?
Asee hata mie nliwaza hivyo kabisaNahisi pia huyo jamaa atakuwa na matatizo ya Akili.
Embu waza haya.
-Hakuwa na mahali pa kuishi (ana tanga tanga)
-Kubaka mtu
-Kuua aliyembaka
-Kupotelea vichakani
-Kurejea mazingira anayofahamika.
Ilikuwaje na huyo ni nani, mbona umeweka picha za mnato?Unajua kwa tukio la mtu kuona marehemu kuna mwengine linaweza kumpa wasi wasi na ikaonesha mazingira kama kahusika.
Ulipata hii. View attachment 2525514