Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
AiseeKwenye biashara iwe ni service au manufacturing kuna kujenga brand name lakini pia kuna logo ambayo kazi yake kubwa ni kuitambulisha brand yenyewe
Logo ni sehemu muhimu ya kutangaza brand au biashara. Ni moja ya kipengele ambacho kinahitaji designer mwenye akili sana ili logo ilete maana inayoendana na huduma au bidhaa.
Sasa kuna huyu aliyebuni logo ya TOYOTA ni moja ya designers wakali sana.
Kama hauna "A" tatu hauwezi kujua kuwa ndani ya hiyo logo unapata herufi T, O ,Y ,O, T, A zinazounda jina la kampuni
View attachment 3139101
View attachment 3139098
Mbona hata kwenye 35 bora ya logo bora duniani kwa mwaka 2024 haipo ?
35 Best Brand Logos of 2024
These logo designs answer questions we never knew we were asking about these brands and their identity. They tell a story and make you think. They make you feel something. When logos and brands work together and mesh seamlessly, sparks fly.
Kwahio kutokujua kuwa kwenye Logo kuna jina la kampuni hii inapaswa kuwa sifa nzuri au mbaya ya logo
Mbona hata kwenye 35 bora ya logo bora duniani kwa mwaka 2024 haipo ?
35 Best Brand Logos of 2024
These logo designs answer questions we never knew we were asking about these brands and their identity. They tell a story and make you think. They make you feel something. When logos and brands work together and mesh seamlessly, sparks fly.
Ni mawazo yako au ya mdau tu umeyawasilisha hapa?Ni sawa ila lengo lilikuwa kuona ubunifu na umahiri wa designer wa hiyo logo
Ya wadauNi mawazo yako au ya mdau tu umeyawasilisha hapa?
Mercedes Benz na coca-cola logo pia ni the moto
Sasa mkuu huo ni ubunifu kweli?Ni Ubunifu wako tu mbona masomo ya sayansi unaweza kufundisha bila banseni bana?
Nimekumbuka tangazo la haki elimu kuhusu ubunifu.... π π πSasa mkuu huo ni ubunifu kweli?
Ubunifu mzuri
Binafs leo ndio nimejua hiyo logo imebeba neno toyotaNi moja ya ubunifu wa hali ya juu sana katika kuunda logo