Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hata mimi pia aisee!Binafs leo ndio nimejua hiyo logo imebeba neno toyota
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi pia aisee!Binafs leo ndio nimejua hiyo logo imebeba neno toyota
Very wonderful in deed. Ubunifu mzuri sana.
These are American company. Sijaona ambayo kweli inasthili kuwa best labda hiyo ya coca-cola, nyingine zote za kawaida sana.Mbona hata kwenye 35 bora ya logo bora duniani kwa mwaka 2024 haipo ?
35 Best Brand Logos of 2024
These logo designs answer questions we never knew we were asking about these brands and their identity. They tell a story and make you think. They make you feel something. When logos and brands work together and mesh seamlessly, sparks fly.
mfano Kuna jamaa yeye akiona ile HP tu anadata, haijui kampuni na Wala Hana habari ya kufuatilia, ila akiona HP tu basi umemmaliza
Alafu kuna hawa NIKE yaani yule bi mkubwa hata hakupata tabu ahahaha na mpaka leo anapokea mapesa yake
Hakupata tabu sanaaaaaaMwanamama Carolyn Davidson
Kuna tamasha linakuja kuwa famous sana hapa tz soon as possible alafu lile logo ni mimi nime design kudadakeeee
Hakupata tabu sanaaaaaa
😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 Hayo maneno kama ya kaunafiki hivi dadadekiI'm looking forward to seeing what wonderful logo u designed!
Ndonga ndio kitu gani?Kuna mtu/watu walituliza ndonga zao hapo
Kichwa mkuu 🤣Ndonga ndio kitu gani?
😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 Hayo maneno kama ya kaunafiki hivi dadadeki
Anhaa.. maana nimetafuta mpaka google translate na google dictionary imekuja blankKichwa mkuu 🤣
EwaaaahKabisa kitaaluma pia wanasema ni graphic designer kaitendea haki taaluma yake
Sasa mbona ulisema kwa kingereza mkuuMkuu mimi sio mnafiki namaanisha naamini tamasha likiwa tayari utakuwa huru sasa kutujuza hiyo logo kwa sasa umetupenyezea tu kiaina 🤣
Si ndio maana nimewasanua 🤣Kwa hiyo mzeiya Xi Jinping wewe una A tatu? Au unatupanga tu humu?