Aliyedai anaweza kuunga mfupa uliovunjika bila upasuaji amsaidie Gerald Mdamu

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Kuna siku nilisikiliza Wasafi FM kuna jamaa alihojiwa nasema anaunga mfupa uliovunjika bila kupasua tena akasema hata Mapinduzi Balama angeenda kwake angemtibu within a month.

Sasa kuna huyu kijana aliyetelekezwa na timu ya Polisi huu si ndiyo wakati wa kumtibu? Hebu mchukue kama ni pesa ya matibabu tutachangia
 
Nahis ni doctor wa mitishamba kama si kigoma clinic...
 
Nahis ni doctor wa mitishamba kama si kigoma clinic...
yes alisema kigoma clinic sasa hii ndo chance ya yeye kuushangaza umma wa watanzania, amsaidie huyu kijana jamani kama ni hela tutachanga
 
Wapo sio chai labda huyo wa clouds, i had my own proof when i was with my Dad & Mum both Senior officers wa Magereza Kiwira, nikiwa fundi wa handball, volleyball na football ni ukweli nenda sehemu njiapanda Kiwira Magereza au KK (kijiji kitulivu) vijana wa leo hawajui hii tafsiri sema tu kk panda gari za tukuyu au kyela, mimi ni shuhuda. Mitume ni watu nao watu sote tuliumbwa na Mungu ili tuishi ipasavyo kwa namna ifaayo kwake. All the best.
 
nafikiri huyu mdamu atafute tu hiyo njia mbadala huyo jamaa wa kigoma clinic alihojiwa wasafi fm hii ndiyo chance yake ya kujitangaza hata afrika mashariki akifanikiwa kumrudisha mdamu uwanjaninina hakika atapokea wachezaji wengi sana wa kuwatibu hata kutoka nje ya nchi
 
Ni kweli wapo kwa dar kuna mmoja wwpo wa hawa wakuunga mifupa yupo chanika kama sijakosea na pia kwa Tanga yupo mmoja wapo sehemu moja inaitwa Kibiboni.
 
Jua na mvua tumepewa bure kama ilivyo mdomo na mikono basi taarifa ziwe chachu kwa kila msaada unaohitajika.
 
Ni kweli wapo kwa dar kuna mmoja wwpo wa hawa wakuunga mifupa yupo chanika kama sijakosea na pia kwa Tanga yupo mmoja wapo sehemu moja inaitwa Kibiboni.
kumbe ni kweli?sasa mbona wachezaji huwa wakivunjika wansumbuka sana ?
 
Na wewe ni kijana wa leo, haiitwi KK ni KKK(kyimo kijiji kitulivu).
 
kumbe ni kweli?sasa mbona wachezaji huwa wakivunjika wansumbuka sana ?
Imani mkuu. Mtu akivunjika akili yake inaona hospitali ndio kila kitu, na hakuna msaada nje na hospitali. Lakini ukweli ndio huo hawa watalaamu wa kuunga mifupa wapo.

Najisikia hiyo jina la Kibiboni limeitwa kwasababu ya uwezo wa huyo mtu katika kuunga mifupa. Na kuna mdau mwingine amesema Kagera yupo mtu wa namna. Kifupi unapata jibu kuwa watalaamu hao wapo wengi tu Tanzania.
 
Mimi ni shuhuda nilivunjika mkono nikiwa darasa la tano mzee mmoja alinitibu.
kwanza alinifu ukindu mkono ulovunjika baada ya dakika 10 nikawa sisikie maumivu halafu akamchukua kuku akamvunja kipapatio
akafanya tiba akanifunga akamfunga na yule kuku yeye akawa anamuangalia kuku tu alipopona kuku akanifungua akaondoa ukindu nikapona.

Gharama za matibabu alichukua shilingi 3 tu na asali nusu lita. akadai tukizidisha ataharibu uganga alopewa na Mungu

ila maisha ya mzee yule yalikuwa yamenyooka hana makando Mungu akulaze pema mzee shemahonge
 
Wanaounga mifupa wapo wengi tu,ila kama haujawai kuona unaweza kubisha kwakutofatilia,na huyo mchezaji wa polisi anaweza akaungwa bila kukatwa mguu kama walivyopendekeza madaktari wake.
 
wapo wengi hasa kanda ya ziwa amwulize hata Menata kipa wa yanga alitibiwa tena baada ya kuambiwa na kocha wake wakati yupo Mbao hii ni kwa mujibu wa mahojiano aliyofanya na mwanaspoti
 

Nilitaka niseme pale ikuti na ileje wapo wengi tu

Wanaunga kwa laki moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…