CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
yes alisema kigoma clinic sasa hii ndo chance ya yeye kuushangaza umma wa watanzania, amsaidie huyu kijana jamani kama ni hela tutachangaNahis ni doctor wa mitishamba kama si kigoma clinic...
Wapo sio chai labda huyo wa clouds, i had my own proof when i was with my Dad & Mum both Senior officers wa Magereza Kiwira, nikiwa fundi wa handball, volleyball na football ni ukweli nenda sehemu njiapanda Kiwira Magereza au KK (kijiji kitulivu) vijana wa leo hawajui hii tafsiri sema tu kk panda gari za tukuyu au kyela, mimi ni shuhuda. Mitume ni watu nao watu sote tuliumbwa na Mungu ili tuishi ipasavyo kwa namna ifaayo kwake. All the best.Kuna siku nilisikiliza wasafi fm kuna jamaa alihojiwa nasema anaunga mfupa uliovunjika bila kupasua tena akasema hata mapinduzi balama angeenda kwake angemtibu within a month
Sasa kuna huyu kijana aliyetelekezwa na team ya polisi huu si ndiyo wakati wa kumtibu? embu mchukue kama ni pesa ya matibabu tutachangia
nafikiri huyu mdamu atafute tu hiyo njia mbadala huyo jamaa wa kigoma clinic alihojiwa wasafi fm hii ndiyo chance yake ya kujitangaza hata afrika mashariki akifanikiwa kumrudisha mdamu uwanjaninina hakika atapokea wachezaji wengi sana wa kuwatibu hata kutoka nje ya nchiWapo sio chai labda huyo wa clouds, i had my own proof when i was with my Dad & Mum both Senior officers wa Magereza Kiwira, nikiwa fundi wa handball, volleyball na football ni ukweli nenda sehemu njiapanda Kiwira Magereza au KK (kijiji kitulivu) vijana wa leo hawajui hii tafsiri sema tu kk panda gari za tukuyu au kyela, mimi ni shuhuda. Mitume ni watu nao watu sote tuliumbwa na Mungu ili tuishi ipasavyo kwa namna ifaayo kwake. All the best.
Ni kweli wapo kwa dar kuna mmoja wwpo wa hawa wakuunga mifupa yupo chanika kama sijakosea na pia kwa Tanga yupo mmoja wapo sehemu moja inaitwa Kibiboni.Wapo sio chai labda huyo wa clouds, i had my own proof when i was with my Dad & Mum both Senior officers wa Magereza Kiwira, nikiwa fundi wa handball, volleyball na football ni ukweli nenda sehemu njiapanda Kiwira Magereza au KK (kijiji kitulivu) vijana wa leo hawajui hii tafsiri sema tu kk panda gari za tukuyu au kyela, mimi ni shuhuda. Mitume ni watu nao watu sote tuliumbwa na Mungu ili tuishi ipasavyo kwa namna ifaayo kwake. All the best.
Jua na mvua tumepewa bure kama ilivyo mdomo na mikono basi taarifa ziwe chachu kwa kila msaada unaohitajika.nafikiri huyu mdamu atafute tu hiyo njia mbadala huyo jamaa wa kigoma clinic alihojiwa wasafi fm hii ndiyo chance yake ya kujitangaza hata afrika mashariki akifanikiwa kumrudisha mdamu uwanjaninina hakika atapokea wachezaji wengi sana wa kuwatibu hata kutoka nje ya nchi
kumbe ni kweli?sasa mbona wachezaji huwa wakivunjika wansumbuka sana ?Ni kweli wapo kwa dar kuna mmoja wwpo wa hawa wakuunga mifupa yupo chanika kama sijakosea na pia kwa Tanga yupo mmoja wapo sehemu moja inaitwa Kibiboni.
Na wewe ni kijana wa leo, haiitwi KK ni KKK(kyimo kijiji kitulivu).Wapo sio chai labda huyo wa clouds, i had my own proof when i was with my Dad & Mum both Senior officers wa Magereza Kiwira, nikiwa fundi wa handball, volleyball na football ni ukweli nenda sehemu njiapanda Kiwira Magereza au KK (kijiji kitulivu) vijana wa leo hawajui hii tafsiri sema tu kk panda gari za tukuyu au kyela, mimi ni shuhuda. Mitume ni watu nao watu sote tuliumbwa na Mungu ili tuishi ipasavyo kwa namna ifaayo kwake. All the best.
Imani mkuu. Mtu akivunjika akili yake inaona hospitali ndio kila kitu, na hakuna msaada nje na hospitali. Lakini ukweli ndio huo hawa watalaamu wa kuunga mifupa wapo.kumbe ni kweli?sasa mbona wachezaji huwa wakivunjika wansumbuka sana ?
asaidiwe jamani dahWanaounga mifupa wapo wengi tu,ila kama haujawai kuona unaweza kubisha kwakutofatilia,na huyo mchezaji wa polisi anaweza akaungwa bila kukatwa mguu kama walivyopendekeza madaktari wake.
Hajaachwa na hatasaidiwa tu,bongo kuna family pana ya wanamichezo.asaidiwe jamani dah
Sio kyimo juu hahahahaaaaNa wewe ni kijana wa leo, haiitwi KK ni KKK(kyimo kijiji kitulivu).
Wapo sio chai labda huyo wa clouds, i had my own proof when i was with my Dad & Mum both Senior officers wa Magereza Kiwira, nikiwa fundi wa handball, volleyball na football ni ukweli nenda sehemu njiapanda Kiwira Magereza au KK (kijiji kitulivu) vijana wa leo hawajui hii tafsiri sema tu kk panda gari za tukuyu au kyela, mimi ni shuhuda. Mitume ni watu nao watu sote tuliumbwa na Mungu ili tuishi ipasavyo kwa namna ifaayo kwake. All the best.