Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mkuu hata mimi namfahamu ni mtaalamu haswa wa mambo hayo yupo kk kwa mbele ukiwa unaenda chuo magereza mpaka kijiji kimoja kinaitwa ikuti nadhani anaitwa malebheja kama sijakoseaWapo sio chai labda huyo wa clouds, i had my own proof when i was with my Dad & Mum both Senior officers wa Magereza Kiwira, nikiwa fundi wa handball, volleyball na football ni ukweli nenda sehemu njiapanda Kiwira Magereza au KK (kijiji kitulivu) vijana wa leo hawajui hii tafsiri sema tu kk panda gari za tukuyu au kyela, mimi ni shuhuda. Mitume ni watu nao watu sote tuliumbwa na Mungu ili tuishi ipasavyo kwa namna ifaayo kwake. All the best.
Yuko mbele ya ikuti panaitwa Luswisi, luswisi ni ramani ila anaweza akawa anatokea vitongoji jirani na luswisiHuyu mkuu hata mimi namfahamu ni mtaalamu haswa wa mambo hayo yupo kk kwa mbele ukiwa unaenda chuo magereza mpaka kijiji kimoja kinaitwa ikuti nadhani anaitwa malebheja kama sijakosea
Uko sahihi mkuu mimi ni mwenyeji wa tukuyuWapo sio chai labda huyo wa clouds, i had my own proof when i was with my Dad & Mum both Senior officers wa Magereza Kiwira, nikiwa fundi wa handball, volleyball na football ni ukweli nenda sehemu njiapanda Kiwira Magereza au KK (kijiji kitulivu) vijana wa leo hawajui hii tafsiri sema tu kk panda gari za tukuyu au kyela, mimi ni shuhuda. Mitume ni watu nao watu sote tuliumbwa na Mungu ili tuishi ipasavyo kwa namna ifaayo kwake. All the best.