kaangwa
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 644
- 193
Wananchi wa Kenya wameshangazwa na taarifa ya mwanamumemmoja aliyezinduka akiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitalimoja mjini Naivasha umbali wa kilomita tisini kutoka mji mkuu Nairobi.
Mwanamume huyo Paul Mburu mwenye umri wamiaka 24, alipelekwa hospitalini kwa matibabu baada ya kunywa sumu kwa lengo lakujitoa uhai,kutokana na ugomvi wa kinyumbani na babake ingawa alisemekanakufariki Jumatano usiku wakati akipokea matibabu.
Taarifa zinazohusiana
Wafanyakazi wa hospitali hiyo walipigwa nabutwaa na hata kutoroka walipoona mwili wa mtu waliyedhani ni maiti ukisonga nakuonyesha dalili za kuwa hai katika chumba cha kuhifadhia maiti.
Afisaa mkuu wa matibabu katika hospitalihiyo ya wilaya, Dokta Joseph Mburu, alisema kuwa dawa iliyotumiwa kumtibu Mburuhufanya moyo kupiga polepole hali ambayo huenda ilimfanya muuguzi kudhani kuwamgonjwa alikua amefariki.
Mwanamume huyo alisikika akimtaka mmoja wawafanyakazi katika chumba cha kuhifadhia maiti kumsaidia kwani alikuwa anahisibaridi kali na hapo ndipo mmoja wa wafanyakazi alipotimua mbio kwa hofu.
Nusura Mburu awekwe kwenye jokovu lakuhifadhia maiti.
Jamaa za mwanamume huyo akiwemo babakewalikuwa wametembelea chumba cha maiti siku ya Alhamisi ili kujiandaa kwamazishi , lakini baadaye mchana walifahamishwa kuwa Mburu alikuwa hai.
Source: BBC news
Mytake: kwa madaktari je ni sababu zipi zinaweza kusababisha hili au ni miujiza ?
Mwanamume huyo Paul Mburu mwenye umri wamiaka 24, alipelekwa hospitalini kwa matibabu baada ya kunywa sumu kwa lengo lakujitoa uhai,kutokana na ugomvi wa kinyumbani na babake ingawa alisemekanakufariki Jumatano usiku wakati akipokea matibabu.
Taarifa zinazohusiana
Wafanyakazi wa hospitali hiyo walipigwa nabutwaa na hata kutoroka walipoona mwili wa mtu waliyedhani ni maiti ukisonga nakuonyesha dalili za kuwa hai katika chumba cha kuhifadhia maiti.
Afisaa mkuu wa matibabu katika hospitalihiyo ya wilaya, Dokta Joseph Mburu, alisema kuwa dawa iliyotumiwa kumtibu Mburuhufanya moyo kupiga polepole hali ambayo huenda ilimfanya muuguzi kudhani kuwamgonjwa alikua amefariki.
Mwanamume huyo alisikika akimtaka mmoja wawafanyakazi katika chumba cha kuhifadhia maiti kumsaidia kwani alikuwa anahisibaridi kali na hapo ndipo mmoja wa wafanyakazi alipotimua mbio kwa hofu.
Nusura Mburu awekwe kwenye jokovu lakuhifadhia maiti.
Jamaa za mwanamume huyo akiwemo babakewalikuwa wametembelea chumba cha maiti siku ya Alhamisi ili kujiandaa kwamazishi , lakini baadaye mchana walifahamishwa kuwa Mburu alikuwa hai.
Source: BBC news
Mytake: kwa madaktari je ni sababu zipi zinaweza kusababisha hili au ni miujiza ?