Aliyeelewa Mkurugenzi wa DP World kusaini mkataba wa nchi ya Dubai na Tanzania anieleweshe

Aliyeelewa Mkurugenzi wa DP World kusaini mkataba wa nchi ya Dubai na Tanzania anieleweshe

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Moja ya jambo ambalo linafikirisha katika IGA ya Tanzania na Dubai ni sehemu ya watia sahihi!

Upande wa Serikali ya Dubai amesaini Mkurugenzi wa Bandari! Yani huu ni mkataba wa nchi na nchi anakuja kusaini Mkurugenz wa Bandari kwa niaba ya nchi yake? Mawaziri, na makatibu wakuu hamna huko serikalini Dubai mpaka aje kusain mkurugenzi?

Sehemu ya mashuhuda wa mkataba ndiyo kabisa! Upande wa Dubai kuna sain tu! Alieshuhudia jina wala cheo hamna! Sasa Document ile ukiipeleka mahakaman kwa lalamiko lolote si wanakukataa Dubai?

Tuseme tu Serikali ya Dubai haijasaini mkataba na Tanzania! Ila DP World ilisaini IGA.

Screenshot_2023-07-10-20-57-36-60_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg
 
Nami naomba kufahamu jambo lingine la nyongeza:

Huyo 'agent' wa Dubai... "to act individually'' inamaanisha nini kisheria?

Doc2.jpg


Wanasheria naombeni ufahamu hapo.

Cc: Pascal Mayalla

-Kaveli-
 
Moja ya jambo ambalo linafikirisha katika IGA ya Tanzania na Dubai ni sehemu ya watia sahihi!

Upande wa Serikali ya Dubai amesaini Mkurugenzi wa Bandari! Yani huu ni mkataba wa nchi na nchi anakuja kusaini Mkurugenz wa Bandari kwa niaba ya nchi yake? Mawaziri, na makatibu wakuu hamna huko serikalini Dubai mpaka aje kusain mkurugenzi?

Sehemu ya mashuhuda wa mkataba ndiyo kabisa! Upande wa Dubai kuna sain tu! Alieshuhudia jina wala cheo hamna! Sasa Document ile ukiipeleka mahakaman kwa lalamiko lolote si wanakukataa Dubai?

Tuseme tu Serikali ya Dubai haijasaini mkataba na Tanzania! Ila DP World ilisaini IGA.

View attachment 2687706
Kapewa mamlaka hiyo na Emirates ya Dubai,Katiba yao inaruhusu.Ni kama vile Mbarawa alivopewa mamlaka na Rais,Katiba yetu imeruhusu.
 
Mikataba mingine ilisainiwa hotelini London

Yaani mswahili akinusa hela tu hata uandike nini yeye anakuuliza tu Nisaini wapi?

Ni kama kwenye agreements tunazoziona kwenye simu yaani unashuka mpaka chini bila kusoma unatafuta sehemu imeandikwa
I AGREE
Halafu ipo siku mtu atakuja ku agree mahala pameandikwa "utabakwa mara tatu kwa siku asubuhi,mchana na usiku!".. umeshakubali huko ndo unaanza kusoma hapo unaanza kulia tu nakusema ulirogwa...🤣
 
Kapewa mamlaka hiyo na Emirates ya Dubai,Katiba yao inaruhusu.Ni kama vile Mbarawa alivopewa mamlaka na Rais,Katiba yetu imeruhusu.
Unayo attachment ya barua Emirat? Imesainiwa na nani? Katika ngazi zote za uongozi ndo aje kusain mkurugenzi wa bandar kweli? Mawaziri wakupewa hayo mamlaka hamna? Makatibu wakuu hamna? Manaibu hamna? Yani hamna hamna hamna ndo mkurugenzi wa sehemu fulan alewe malaka ya kusain kwa niaba ya serikali!
 
Nami naomba kufahamu jambo lingine la nyongeza:

Huyo 'agent' wa Dubai... "to act individually'' inamaanisha nini kisheria?

View attachment 2687712

Wanasheria naombeni ufahamu hapo.

Cc: Pascal Mayalla

-Kaveli-

Ni hivi Kiongozi hiyo kampuni ya DP World inajiendesha kama kampuni binafsi. Inayomilikiwa na Serikali.
Ni kama vile Suma JKT .
Ukaingia Mikataba na kampuni hizo sio kama umeingia mkataba na serikali na ndio maana kama ukifuatilia migogoro iliyopo Kati na DP world na serikali mbalimbali utakutana zinazoshtakiana ni DP World kama DP world wala sio UAE na Serikali zilizotoa bandarini zao.
Kwa hili la kusema tumeingia mkataba na serikali ya Dubai ni kiini macho
 
Unayo attachment ya barua Emirat? Imesainiwa na nani? Katika ngazi zote za uongozi ndo aje kusain mkurugenzi wa bandar kweli? Mawaziri wakupewa hayo mamlaka hamna? Makatibu wakuu hamna? Manaibu hamna? Yani hamna hamna hamna ndo mkurugenzi wa sehemu fulan alewe malaka ya kusain kwa niaba ya serikali!
Mkuu sioni shida,after all huyo Mkurugenzi ndiye atekayetekeza huo mkataba,to me he is the right person.Afterall kuna shida gani kama Katiba yao inaruhusu.
 
Ni hivi Kiongozi hiyo kampuni ya DP World inajiendesha kama kampuni binafsi. Inayomilikiwa na Serikali.
Ni kama vile Suma JKT .
Ukaingia Mikataba na kampuni hizo sio kama umeingia mkataba na serikali na ndio maana kama kujifagilia migogoro iliyopo Kati na DP world na serikali mbalimbali utakutana zinazoshtakiana ni DP World kama DP world wala sio UAE na Serikali zilizotoa bandarini zao.
Kwa hili la kusema tumeingia mkataba na serikali ya Dubai ni kiini macho
Wanamdanganya nan? Kwani TPA ingetangaza tender na DP akashinda wakamaliza wangepungukiwa nn? Mpaka wanapeleka bungen upitishwe kwa azimio kwa hakikisho hatuwezi taifisha vitu vyao what does it mean?
 
Mkuu sioni shida,after all huyo Mkurugenzi ndiye atekayetekeza huo mkataba,to me he is the right person.Afterall kuna shida gani kama Katiba yao inaruhusu.
Katiba hai inaruhusu mkugenzi wa bandar kuingia mkataba kwa niaba ya serikali? Naomba hicho kifungu
 
Halafu ipo siku mtu atakuja ku agree mahala pameandikwa "utabakwa mara tatu kwa siku asubuhi,mchana na usiku!".. umeshakubali huko ndo unaanza kusoma hapo unaanza kulia tu nakusema ulirogwa...[emoji1787]
I swear to God
Niliwaza hili na kutaka kuandika nikasita [emoji1] [emoji1787]
 
Moja ya jambo ambalo linafikirisha katika IGA ya Tanzania na Dubai ni sehemu ya watia sahihi!

Upande wa Serikali ya Dubai amesaini Mkurugenzi wa Bandari! Yani huu ni mkataba wa nchi na nchi anakuja kusaini Mkurugenz wa Bandari kwa niaba ya nchi yake? Mawaziri, na makatibu wakuu hamna huko serikalini Dubai mpaka aje kusain mkurugenzi?

Sehemu ya mashuhuda wa mkataba ndiyo kabisa! Upande wa Dubai kuna sain tu! Alieshuhudia jina wala cheo hamna! Sasa Document ile ukiipeleka mahakaman kwa lalamiko lolote si wanakukataa Dubai?

Tuseme tu Serikali ya Dubai haijasaini mkataba na Tanzania! Ila DP World ilisaini IGA.

View attachment 2687706
Mkataba ni Fake na BATILI,

Tunahangaika sana kujadili.

Uchanwe chanwe tuanze UPYA mjadala.
 
Katiba hai inaruhusu mkugenzi wa bandar kuingia mkataba kwa niaba ya serikali? Naomba hicho kifungu
Katiba yao umeisoma?Mimi sijaisoma,ila Mwanasheria wa Wizara ya Miundombinu Tanzania kasoma. hicho kifungu mbele ya waandishi was habari.
 
Katiba yao umeisoma?Mimi sijaisoma,ila Mwanasheria wa Wizara ya Miundombinu Tanzania kasoma. hicho kifungu mbele ya waandishi was habari.
Unajua unachozungumzia lakini? Yani mwanasheria kasoma katiba ya UAE ambayo inampa mamlaka ya mkugenzi wa bandari kuingia mikata kwaniaba ya nchi? Sasa barua ya kuteuliwa kwake na mtu asiejulikan ilikuwa yann kama katiba imempa mamlaka hayo?
Screenshot_2023-07-10-22-03-23-68_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg
 
Moja ya jambo ambalo linafikirisha katika IGA ya Tanzania na Dubai ni sehemu ya watia sahihi!

Upande wa Serikali ya Dubai amesaini Mkurugenzi wa Bandari! Yani huu ni mkataba wa nchi na nchi anakuja kusaini Mkurugenz wa Bandari kwa niaba ya nchi yake? Mawaziri, na makatibu wakuu hamna huko serikalini Dubai mpaka aje kusain mkurugenzi?

Sehemu ya mashuhuda wa mkataba ndiyo kabisa! Upande wa Dubai kuna sain tu! Alieshuhudia jina wala cheo hamna! Sasa Document ile ukiipeleka mahakaman kwa lalamiko lolote si wanakukataa Dubai?

Tuseme tu Serikali ya Dubai haijasaini mkataba na Tanzania! Ila DP World ilisaini IGA.

View attachment 2687706
PITA HAPA UONE!
Angalieni huu ukurasa wa sahihi kwa karibu sana!
Mnaona hapo kwa upande wa shahidi kuna sahihi ya Mbarawa ilianza alafu haikuisha - akaweka mtu mwingine! Aisee Alafu mashahidi wote wawili hawana majina na huyo wa Dubai hata cheo hatujui ni nani!
20230714_144512.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
PITA HAPA UONE!
Angalieni huu ukurasa wa sahihi kwa karibu sana!
Mnaona hapo kwa upande wa shahidi kuna sahihi ya Mbarawa ilianza alafu haikuisha - akaweka mtu mwingine! Aisee Alafu mashahidi wote wawili hawana majina na huyo wa Dubai hata cheo hatujui ni nani!View attachment 2687788

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kwakweli Hapana! Huu uzembe hauvumiliki
 
Back
Top Bottom