Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Barua ya kumpa mamlaka ya ku-act on behalf ni lazima,ingawa katiba inaruhusu.Hii sio kwenye mkataba huu tu,na Dubai Emirates tu,hata nchi zingine inafanyika,so sio Emirates tu.Unajua unachozungumzia lakini? Yani mwanasheria kasoma katiba ya UAE ambayo inampa mamlaka ya mkugenzi wa bandari kuingia mikata kwaniaba ya nchi? Sasa barua ya kuteuliwa kwake na mtu asiejulikan ilikuwa yann kama katiba imempa mamlaka hayo?View attachment 2687783
Mkuu niseme hivi,hoja hii haina mashimo,just drop it.