Aliyefanikiwa kupiga Picha Simba akiongoza ligi hebu atuwekee Maana tunateseka Sana

Furaha ya simba kwa sasa imehamia kwa Baleke kufunga hat trick kwenye mchezo dhidi ya Mtibwa waliokuwa kwenye kipindi cha majonzi, baada ya kufiwa na beki wao wa kati Iddi Mobi Mfaume.

Na siyo kwenye kuchukua ubingwa. Maana wanatambua fika, hawana tena chao msimu huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…