Aliyefanikiwa kupiga Picha Simba akiongoza ligi hebu atuwekee Maana tunateseka Sana

Aliyefanikiwa kupiga Picha Simba akiongoza ligi hebu atuwekee Maana tunateseka Sana

Pole sana mtani
49cd9cc913f24c258138b701101387ac.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aibu ya nchi inakuja kwa mpira huu wanaocheza yanga mashabiki wanaweza wakawa na furaha ila kocha sijui kama anapata usingizi toka aondoke feisal kuna kitu hakiko sawa kabisa sema mashabiki na viongozi wanajikaza mechi zote alizokosekana team inapata matokea kwa tabu kama sio kujifunga au makosa ya makusudi team haipati ushindi sio lazima mnielewe ila Caf coach cup ina majibu ya maswali yote aibu inakuja.
Unaelewa nini ukisikia mpira ni mchezo wa makosa? Kwa nini hayo magoli asijifunge Yanga?
 
Kuongoza Ligi na tupoint 6 ndo imekua mada...nani kakwambia Simba inateseka?? Ww waambie ukweli watu ww ni Uto pro max..
 
Wakuu Mimi ni mwana Simba kindaki ndaki nimepata masononeko sana[emoji24][emoji24] Baada kuutafuta msimamo wa ligi kuu ya Nbc wakati Simba akiwa kileleni[emoji772] mwa msimamo ligi ya Nbc bila mafanikio.

Kwenye kutafuta kwangu nimebahtika kupata msimamo wa mwaka 2020,
Sasa tupo 2023, hivi Simba bado hawajaweza hata kuongozwa hii ligi kweli kwa masaa au siku kadhaa? Kwa aliyefanikiwa kupiga picha wakati Simba akiongoza ligi hebu atupie..

Mimi kapicha langu ni ka mwaka 2020 haka hapo chini[emoji116]na Yanga walikuwa hawajacheza mechi yoyote

Yaani sisi Wanasimba tunaumia sana kwa kweli. Ewe Mungu tusaidie haya mateso yatuepuke[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2506373
Wee Ni utopolo mwenzetu upo kuwazinguwa makolo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Aibu ya nchi inakuja kwa mpira huu wanaocheza yanga mashabiki wanaweza wakawa na furaha ila kocha sijui kama anapata usingizi toka aondoke feisal kuna kitu hakiko sawa kabisa sema mashabiki na viongozi wanajikaza mechi zote alizokosekana team inapata matokea kwa tabu kama sio kujifunga au makosa ya makusudi team haipati ushindi sio lazima mnielewe ila Caf coach cup ina majibu ya maswali yote aibu inakuja.
Feisal alikuwepo misimu 3 nyuma huko kimataifa alitusaidia vipi?

Huu wimbo wa kimataifa itakua hivi kimataifa itakua vile ni kujifariji tu, mtu anayejua mpira huwa haongei kauli kama zako.
 
Mkiwa mabingwa zaidi ya mara 20 lakini bado utopolo ikawa omba omba kama vile timu iliyopanda daraja.
 
Wakuu Mimi ni mwana Simba kindaki ndaki nimepata masononeko sana[emoji24][emoji24] Baada kuutafuta msimamo wa ligi kuu ya Nbc wakati Simba akiwa kileleni[emoji772] mwa msimamo ligi ya Nbc bila mafanikio.

Kwenye kutafuta kwangu nimebahtika kupata msimamo wa mwaka 2020,
Sasa tupo 2023, hivi Simba bado hawajaweza hata kuongozwa hii ligi kweli kwa masaa au siku kadhaa? Kwa aliyefanikiwa kupiga picha wakati Simba akiongoza ligi hebu atupie..

Mimi kapicha langu ni ka mwaka 2020 haka hapo chini[emoji116]na Yanga walikuwa hawajacheza mechi yoyote

Yaani sisi Wanasimba tunaumia sana kwa kweli. Ewe Mungu tusaidie haya mateso yatuepuke[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2506373
Wewe pekee ndio unaumia kwa kukosa akili.
Wewe ni dizaini ya ashura cheupe ambaye unapaswa tu kusifia jinsi makipa wa timu pinzani wanavyowapa assist.
Huna lolote ligi bado mbichi.Unless soka umeanza kufuatilia baada ya kuolewa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Huu uzi wanaupita kama vile wamemuona baba mkwe, wanachungulia wanakula kona kama vile ni vipofu, utawakuta kwenye uzi wenye kombe lao la Fei toto na Sportpesa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tupo hapa tunawakumbusheni kuwa ubora wa team unapimwa kwa level za mashindano makubwa kama CL
JamiiForums-118586119.jpg
 
Utopolo yupo kwenye kilele Cha ubora wake yupo makundi shirikisho while Simba alikua anaitafuta Nusu final kwa pira peresu peresu alilompigia Kaizer chiefs.

Mkubwa ni mkubwa tu🦁🦁🦁🦁
 
Aibu ya nchi inakuja kwa mpira huu wanaocheza yanga mashabiki wanaweza wakawa na furaha ila kocha sijui kama anapata usingizi toka aondoke feisal kuna kitu hakiko sawa kabisa sema mashabiki na viongozi wanajikaza mechi zote alizokosekana team inapata matokea kwa tabu kama sio kujifunga au makosa ya makusudi team haipati ushindi sio lazima mnielewe ila Caf coach cup ina majibu ya maswali yote aibu inakuja.
Mtazamo wako unaheshimiwa. But utabaki kuwa ni ntazamo

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom