Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hivi ikidhihirika kwamba hii habari ina makosa, hakuna mtu aliyekufa na kupatikana yuko hai baada ya kufa, nyie mnaoendekeza uchawi mtakubali kuwa habari za uchawi ni longolongo tu?
Au mtakuja na excuse mpya kuendeleza propaganda za kuamini uchawi?
Au mtakuja na excuse mpya kuendeleza propaganda za kuamini uchawi?