Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 78,790 Reaction score 128,275 Jan 1, 2023 #21 Hivi ikidhihirika kwamba hii habari ina makosa, hakuna mtu aliyekufa na kupatikana yuko hai baada ya kufa, nyie mnaoendekeza uchawi mtakubali kuwa habari za uchawi ni longolongo tu? Au mtakuja na excuse mpya kuendeleza propaganda za kuamini uchawi?
Hivi ikidhihirika kwamba hii habari ina makosa, hakuna mtu aliyekufa na kupatikana yuko hai baada ya kufa, nyie mnaoendekeza uchawi mtakubali kuwa habari za uchawi ni longolongo tu? Au mtakuja na excuse mpya kuendeleza propaganda za kuamini uchawi?
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Jan 2, 2023 #22 Kijana aliyekufa mwezi April Mwaka jana amekutwa akiwa hai mwezi December na kushangaza Watu wengi Kumbe mnaweza kumzika mtu kumbe mnazika msukule Labda Ndio sababu Kule Kenya mwendazake huwekwa mubashara ukumbini kwa siku kadhaa Hii Dunia ina giza nene Heri ya Mwaka Mpya!
Kijana aliyekufa mwezi April Mwaka jana amekutwa akiwa hai mwezi December na kushangaza Watu wengi Kumbe mnaweza kumzika mtu kumbe mnazika msukule Labda Ndio sababu Kule Kenya mwendazake huwekwa mubashara ukumbini kwa siku kadhaa Hii Dunia ina giza nene Heri ya Mwaka Mpya!