Aliyefutiwa Uraia Afrika Kusini, Chidimma aibuka mshindi wa pili Miss Universe 2024

Aliyefutiwa Uraia Afrika Kusini, Chidimma aibuka mshindi wa pili Miss Universe 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Malkia wa urembo wa Miss Universe Nigeria, Chidimma Adetshina, ameibuka mshindi wa pili katika shindano la Miss Universe 2024 lililokamilika Mexico City Jumamosi usiku.

Miss Denmark, Victoria Kjaer Theilvig ndiye aliyeibuka Miss Universe mwaka huu 2024.

1731920052061.png

Chidimma Adetshina ambaye awali alishiriki katika taji la Miss Afrika Kusini mwaka huu lakini akajiondoa baada ya kukabiliwa na chuki dhidi ya wageni pia alitawazwa kuwa Miss Universe Africa na Miss Oceania.
Licha ya kuwa raia wa Afrika Kusini, kustahiki kwake kulitiliwa shaka kwa sababu baba yake ni Mnigeria na mamake ana asili ya Msumbiji.

Ingawa alishika nafasi ya pili katika shindano hilo, Chidimma alipokea mapokezi ya "kifalme" nchini Nigeria, na sifa nyingi kwa ushiriki wake katika mashindano ya urembo, kwenye mitandao ya kijamii na katika vyombo vya habari vya kawaida vya nchi hiyo.

Pia, soma:
 
Malkia wa urembo wa Miss Universe Nigeria, Chidimma Adetshina, ameibuka mshindi wa pili katika shindano la Miss Universe 2024 lililokamilika Mexico City Jumamosi usiku.

Miss Denmark, Victoria Kjaer Theilvig ndiye aliyeibuka Miss Universe mwaka huu 2024.

Chidimma Adetshina ambaye awali alishiriki katika taji la Miss Afrika Kusini mwaka huu lakini akajiondoa baada ya kukabiliwa na chuki dhidi ya wageni pia alitawazwa kuwa Miss Universe Africa na Miss Oceania.

Licha ya kuwa raia wa Afrika Kusini, kustahiki kwake kulitiliwa shaka kwa sababu baba yake ni Mnigeria na mamake ana asili ya Msumbiji.

Ingawa alishika nafasi ya pili katika shindano hilo, Chidimma alipokea mapokezi ya "kifalme" nchini Nigeria, na sifa nyingi kwa ushiriki wake katika mashindano ya urembo, kwenye mitandao ya kijamii na katika vyombo vya habari vya kawaida vya nchi hiyo.
Kama huyu kapata nafasi ya pili basi ntamruhusu mke wangu ashiriki wakati ujao anaweza akawa wa kwanza tukavuna hayo mataji
 
Malkia wa urembo wa Miss Universe Nigeria, Chidimma Adetshina, ameibuka mshindi wa pili katika shindano la Miss Universe 2024 lililokamilika Mexico City Jumamosi usiku.

Miss Denmark, Victoria Kjaer Theilvig ndiye aliyeibuka Miss Universe mwaka huu 2024.

Chidimma Adetshina ambaye awali alishiriki katika taji la Miss Afrika Kusini mwaka huu lakini akajiondoa baada ya kukabiliwa na chuki dhidi ya wageni pia alitawazwa kuwa Miss Universe Africa na Miss Oceania.

Licha ya kuwa raia wa Afrika Kusini, kustahiki kwake kulitiliwa shaka kwa sababu baba yake ni Mnigeria na mamake ana asili ya Msumbiji.

Ingawa alishika nafasi ya pili katika shindano hilo, Chidimma alipokea mapokezi ya "kifalme" nchini Nigeria, na sifa nyingi kwa ushiriki wake katika mashindano ya urembo, kwenye mitandao ya kijamii na katika vyombo vya habari vya kawaida vya nchi hiyo.
Ni raia wa Afrika Kusini ila kaiwakilisha Nigeria! That means Afrika Kusini walikuwa sahihi kumkatalia kuwawakilisha. Huwezi kuwa "popo" namna hiyo.
 
Chidimma Adetshina ashinda nafasi ya pili katika mashindano ya 73 ya "Miss Universe" yaliyofanyika Mexico Novemba 16, 2024

1731933015434.png

Pia, Chidimma anashikilia nafasi ya "Miss Universe Africa and Ocenia 2024" Novemba 16, 2024 nchini Mexico

Chidimma atakabithiwa zawadi mbalimbali ikiwemo kiasi cha Tshs. millioni 266, mkataba wa kukodi ghorofa (apartment) jijini New York kwa mwaka mmoja, na atavaa taji la almasi lenye thamani ya Tshs. bilioni 7.98.

Cheo cha Chidimma kinajumuisha uwakilishi wa nchi zote za Afrika pamoja na nchi 14 zilizomo katika eneo la Oceania kama vile Australia, Papua New Guinea, na New Zealand.
Aidha, Victoria Kjaer Theilvig kutoka Denmark aliibuka kinara wa mashindano hayo na kuwa "Miss Universe 2024"

Ikumbukwe Chidimma alijitoa katika Mashindano ya #MissSouthAfrica ambapo alikutana na shinikizo la kudaiwa kuwa na Uraia wenye Utata, baadhi ya raia wa Afrika Kusini walidai hawataki kuwakilishwa na 'Mgeni na kuibuka Mshindi wa "Miss Universe Nigeria"
 
Chidimma Adetshina ashinda nafasi ya pili katika mashindano ya 73 ya "Miss Universe" yaliyofanyika Mexico Novemba 16, 2024

View attachment 3155374

Pia, Chidimma anashikilia nafasi ya "Miss Universe Africa and Ocenia 2024" Novemba 16, 2024 nchini Mexico

Chidimma atakabithiwa zawadi mbalimbali ikiwemo kiasi cha Tshs. millioni 266, mkataba wa kukodi ghorofa (apartment) jijini New York kwa mwaka mmoja, na atavaa taji la almasi lenye thamani ya Tshs. bilioni 7.98.

Cheo cha Chidimma kinajumuisha uwakilishi wa nchi zote za Afrika pamoja na nchi 14 zilizomo katika eneo la Oceania kama vile Australia, Papua New Guinea, na New Zealand.
Aidha, Victoria Kjaer Theilvig kutoka Denmark aliibuka kinara wa mashindano hayo na kuwa "Miss Universe 2024"

Ikumbukwe Chidimma alijitoa katika Mashindano ya #MissSouthAfrica ambapo alikutana na shinikizo la kudaiwa kuwa na Uraia wenye Utata, baadhi ya raia wa Afrika Kusini walidai hawataki kuwakilishwa na 'Mgeni na kuibuka Mshindi wa "Miss Universe Nigeria"
Ubaya ubwela..
 
Muziki, filamu na mashindano ya ulimbwende ni industries zinazoongoza kwa ufuska sana.
 
Back
Top Bottom