Aliyegonga Tembo wa thamani ya Tsh milioni 30 Serengeti anatafutwa

Mmiliki wa gari hajafahamika kivipi na plate namba zipo hapo kwenye gari? Ina maa usajili wa hilo gari haujatolewa na TRA?
Kigogo 2014, kawachanganya Polisi...
 
Taarifa nilizopata ni vijana walichukua gari ya mzee wao kutoka Bunda kwenda kula Bata ndiyo yakawakuta hivyo ila sina uhakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…