Na yenyewe imekufa pia
Kluger Kumbe balaaaa,inaua Tembo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kluger Kumbe balaaaa,inaua Tembo?
Yaan hawa mashetani hawa ...yaan hata kuzungunzia hali ya dereva kama kaumia au anaendelea je wanawaza matembo....Mmiliki wa gari hajafahamika kivipi na plate namba zipo hapo kwenye gari? Ina maa usajili wa hilo gari haujatolewa na TRA?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kinomaWatauza hata figo zake
Hili swali nimejiuliza sijapata majibuGari ya Kluger iue Tembo na bado itoke eneo la tukio salama?, alikuwa mgonjwa au mtoto?
Au kuna jambo jingine hidden?
Ilikuwa katika awamu ya ngapi ya uongozi?Shemej yangu alikaa ndani 24 hours na faini laki saba msafara wa makamo wa raisi ulikua unapita wakat wanasimamishwa alkua kwenye cross sasa akasogea mbele kdg tu asimame hapo hapo akajikuta central[emoji3166]
unaweza kuanzishwa msako kila mwenye gari aonyeshe liko wapi utajibu nn🤣🤣🤣🤣Na kujeruhiwa juu...gari chali...yaan 50m+ hivihivi. Ningekua mimi nalichoma moto gari hawaambulia hata chassis number
AiseeHuyo mnyama anaiingizia pesa nyingi serikali kuliko mimi mtu mmoja,asa wataanzaje kunijali mimi...kulipa kodi tu ni mtafutano
Umetazama picha hapo?Hili swali nimejiuliza sijapata majibu
Inahitaji ujasiri mzeeDereva bora angechomoa na meno ya marehemu akakimbia nayo maana mambo yashaharibika kama ni mbwai mbwai tu
Tembo ana thamani kuliko binaadamAkijeruhi wanalipa lak 5 kwa familia
Akija wanawalipa Million 1 kifuta machozi
Yeye akiuliwa unalipa mil 34.5
Hahahaaa
Jiulize alikimbia vipi wakati gari ipo hali hiyo, huyo alisaidiwa kukimbiaHapa Bongo bora ugonge mtu kuliko mnyama wowote wa hifadhi hata ningekuwa mimi ningekimbia.
Utakuta aliliwa na simba baada ya ajaliBongo nyoso sana. Mafinger print yote mliotuandikisha, mavitambulisho lukuki, Tin Number tra zipo, usajili wa gari hauwezi kukurudia kumpelekea ujue mmiliki wa gari kisha uanzie hapo uchunguzi?
After all mbona hampo concerned kuhusu hali ya huyo dereva/mmiliki kwa hio condition ya gari iliopo? Kama yu mahtuti ama kafariki mtafanyaje?
Tembo akimuua binadamu tunamuachia Mungu, ila binadamu akimuua tembo ni shida nyingine.
Una uhakika gani Kama aliyekuwa anaendesha siyo mmiliki halali wa gari husika boss?Nachomaanisha ni kuwa mmiliki yupo na anajulikana but aliyekuwa anaendesha sio mwenye hilo gari na katoroka
Hapana ndugu yanguUzito wa tembo ukilinganisha na Toyota Kluger ni dhahiri shairi kuwa hata dere kafa ama kuumia sana.
Nasema uongo ndugu zangu?