Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
- Thread starter
- #41
Haiwezi kugonga gari, gari inagonga treniIla treni inaweza kugonga gari au siyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezi kugonga gari, gari inagonga treniIla treni inaweza kugonga gari au siyo?
Mkuu kama gari imefahamika basi na mmiliki lazima afahamike.Inawezekana sio mmiliki
Ungekimbila kwenye kundi la tembo ilo linalopita hili wakulinde serikali isikukamateHapa bongo Bora ugonge mtu kuliko mnyama wowote wa hifadhi hata ningekuwa mimi ningekimbia
Gari hii hapaGari ya Kluger iue Tembo na bado itoke eneo la tukio salama?, alikuwa mgonjwa au mtoto?
Au kuna jambo jingine hidden?
Yeye ndie aliykuwa akiendesha gari?Kigwangala alitafutwa baada ya kugonga Twiga?
Pengine tembo aliingia barabarani ghafla na dereva hana makosa. Wafanye uchunguza taratibu bila kuongozwa na mihemko.Kifungo hichooo..! ml 30 duh.
Asante kwa picha. Ila umepiga kwa kutumia simu ya Samsung ChatGari hii hapa
Nachomaanisha ni kuwa mmiliki yupo na anajulikana but aliyekuwa anaendesha sio mwenye hilo gari na katorokaMkuu kama gari imefahamika basi na mmiliki lazima afahamike.
Ila polisi mmh[emoji848][emoji848]