Aliyehongwa ubalozi na kusema Katiba Mpya sio muhimu leo anasema hayupo tayari kuhongwa?

Aliyehongwa ubalozi na kusema Katiba Mpya sio muhimu leo anasema hayupo tayari kuhongwa?

Slaa alimpenda hayati Magufuli kwasababu ni mkristo hiyo ni fact sio opinion mashambilizi yote kwa Rais Samia ni kwasababu ni muislamu na pia slaa ni mtu asiye zeeka kwa heshima na yote anayofanya hayata zaa matunda yoyote mimi ni shahidi kwani kila Rais Samia akifanya uteuzi wake watu wangu wa karibu wote wanaangalia je wakristo ni wengi kuliko waislamu.

Mimi huwa na tazama sana na imenifanya nikose furaha sana kwani wakati wa Magufuli alifanya teuzi zake anazofanya lakini waislamu hawakulalamika. Huyo mzee ni snitch anaye zeeka vibaya
 
Slaa alimpenda hayati Magufuli kwasababu ni mkristo hiyo ni fact sio opinion mashambilizi yote kwa Rais Samia ni kwasababu ni muislamu na pia slaa ni mtu asiye zeeka kwa heshima na yote anayofanya hayata zaa matunda yoyote mimi ni shahidi kwani kila Rais Samia akifanya uteuzi wake watu wangu wa karibu wote wanaangalia je wakristo ni wengi kuliko waislamu.

Mimi huwa na tazama sana na imenifanya nikose furaha sana kwani wakati wa Magufuli alifanya teuzi zake anazofanya lakini waislamu hawakulalamika. Huyo mzee ni snitch anaye zeeka vibaya
Na Bado mpka afe
 
Watanzania hawajaridhika na mkataba wa Bandari
Kataa DPW
Kataa Waarabu
Kataa CCM

20141018_MAP004_0.jpg
 
Huyu Dk. Slaa kipindi cha JPM alipokuwa balozi alibadilika sana na kukana kila kitu alichokuwa akikipigia debe alipokuwa upinzani

Kwanza alidai mikutano ya hadhara ni sahihi kufungiwa sababu uchaguzi umeisha(akiwa CDM alikuwa akifanya mikutano hiyo sana)

Pili alidai serikali ya Magufuli kufungia bunge ilikuwa ni sahihi sababu wapinzani huwa wanapotosha vitu vingi bungeni

Tatu alisema katiba mpya sio kitu cha muhimu na hakifai serikali kupoteza muda na hela kwa ajili ya katiba mpya

Nne alisema Tundu Lisu kupigwa risasi bungeni ni jambo la kawaida

Tano alisema Freeman Mbowe kupewa kesi ya ugaidi iliyokuwa ni halali licha ya kutokuwepo na ushahidi wowote wa maana, na waliokuwa wakipaza sauti ili aachiwe walikuwa wakimkwaza

Slaa alisema hivyo baada ya kuteuliwa balozi na baadae hata aliporudishwa alikuwa akitamka vitu vya hovyo akidhani atapata shavu serikali ya Samia

Slaa anahongwa na anahongeka vizuri tu
Shavu gani wewe..Dkt. Slaa ameanza siasa jana? mangapi amepitia yaliyokuwa mazito zaidi kuliko hili la sasa lkn bado alikataa kuhongwa..huo ubalozi ungemuuliza aliyemteua kama ilikuwa ni hongo au la..msimamo wa Dkt. Slaa huwezi kuupima kwa ishu ya ubalozi..ukiamini hivyo utakuwa mpumbavu!
 
Huyu Dk. Slaa kipindi cha JPM alipokuwa balozi alibadilika sana na kukana kila kitu alichokuwa akikipigia debe alipokuwa upinzani

Kwanza alidai mikutano ya hadhara ni sahihi kufungiwa sababu uchaguzi umeisha(akiwa CDM alikuwa akifanya mikutano hiyo sana)

Pili alidai serikali ya Magufuli kufungia bunge ilikuwa ni sahihi sababu wapinzani huwa wanapotosha vitu vingi bungeni

Tatu alisema katiba mpya sio kitu cha muhimu na hakifai serikali kupoteza muda na hela kwa ajili ya katiba mpya

Nne alisema Tundu Lisu kupigwa risasi bungeni ni jambo la kawaida

Tano alisema Freeman Mbowe kupewa kesi ya ugaidi iliyokuwa ni halali licha ya kutokuwepo na ushahidi wowote wa maana, na waliokuwa wakipaza sauti ili aachiwe walikuwa wakimkwaza

Slaa alisema hivyo baada ya kuteuliwa balozi na baadae hata aliporudishwa alikuwa akitamka vitu vya hovyo akidhani atapata shavu serikali ya Samia

Slaa anahongwa na anahongeka vizuri tu
Karma hiyo
 
Huyu Dk. Slaa kipindi cha JPM alipokuwa balozi alibadilika sana na kukana kila kitu alichokuwa akikipigia debe alipokuwa upinzani

Kwanza alidai mikutano ya hadhara ni sahihi kufungiwa sababu uchaguzi umeisha(akiwa CDM alikuwa akifanya mikutano hiyo sana)

Pili alidai serikali ya Magufuli kufungia bunge ilikuwa ni sahihi sababu wapinzani huwa wanapotosha vitu vingi bungeni

Tatu alisema katiba mpya sio kitu cha muhimu na hakifai serikali kupoteza muda na hela kwa ajili ya katiba mpya

Nne alisema Tundu Lisu kupigwa risasi bungeni ni jambo la kawaida

Tano alisema Freeman Mbowe kupewa kesi ya ugaidi iliyokuwa ni halali licha ya kutokuwepo na ushahidi wowote wa maana, na waliokuwa wakipaza sauti ili aachiwe walikuwa wakimkwaza

Slaa alisema hivyo baada ya kuteuliwa balozi na baadae hata aliporudishwa alikuwa akitamka vitu vya hovyo akidhani atapata shavu serikali ya Samia

Slaa anahongwa na anahongeka vizuri tu
Atubuye hussmehews.

Shetani yeye husshia kwenye kushtaki shtaki

Kama aliona kuwa alikosea, basi haki ya kujisahihisha anayo.

Wana wa uasi walimhukumu hadi Mwana wa Mungu
 
Ni ujinga na wendawazimu kuona na kushikilia mnayosema madhaifu ya Dkt. Slaa na kutothamini mchango wake wa mambo mazuri kwa taifa toka aingie CHADEMA..
Hata yakiwepo hayo madhaifu hayawezi kulinganishwa na mabaya ya viongozi wa CCM na chama chao kwa nchi!
 
Back
Top Bottom