Aliyehongwa ubalozi na kusema Katiba Mpya sio muhimu leo anasema hayupo tayari kuhongwa?

Slaa alimpenda hayati Magufuli kwasababu ni mkristo hiyo ni fact sio opinion mashambilizi yote kwa Rais Samia ni kwasababu ni muislamu na pia slaa ni mtu asiye zeeka kwa heshima na yote anayofanya hayata zaa matunda yoyote mimi ni shahidi kwani kila Rais Samia akifanya uteuzi wake watu wangu wa karibu wote wanaangalia je wakristo ni wengi kuliko waislamu.

Mimi huwa na tazama sana na imenifanya nikose furaha sana kwani wakati wa Magufuli alifanya teuzi zake anazofanya lakini waislamu hawakulalamika. Huyo mzee ni snitch anaye zeeka vibaya
 
Na Bado mpka afe
 
Shavu gani wewe..Dkt. Slaa ameanza siasa jana? mangapi amepitia yaliyokuwa mazito zaidi kuliko hili la sasa lkn bado alikataa kuhongwa..huo ubalozi ungemuuliza aliyemteua kama ilikuwa ni hongo au la..msimamo wa Dkt. Slaa huwezi kuupima kwa ishu ya ubalozi..ukiamini hivyo utakuwa mpumbavu!
 
Karma hiyo
 
Atubuye hussmehews.

Shetani yeye husshia kwenye kushtaki shtaki

Kama aliona kuwa alikosea, basi haki ya kujisahihisha anayo.

Wana wa uasi walimhukumu hadi Mwana wa Mungu
 
Ni ujinga na wendawazimu kuona na kushikilia mnayosema madhaifu ya Dkt. Slaa na kutothamini mchango wake wa mambo mazuri kwa taifa toka aingie CHADEMA..
Hata yakiwepo hayo madhaifu hayawezi kulinganishwa na mabaya ya viongozi wa CCM na chama chao kwa nchi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…