Aliyehukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kuchoma picha ya Rais amechukuliwa na watu wasiyojulika, mpaka sasa hajulikani alipo

Duhhhh ishakuwa ubaya ubwela
 
Mbona hakatazi
 
Ila mambo mengine tunajitakia tu.

.........Hivi unachoma picha ya Rais ili iweje, ili ugundue nini yaani?
 
Nchi hii ina laana. Hivi huyu kijana wa watu baada ya kulipa fidia wao kiliwauma nini hadi wakaja kumchukua na kumuua?
 
Kitabu kilitakiwa kusema kiujumla matukio ya miaka mingi wa utawala waa cham tawala sio kuwa biased na mtu kana kwamba matukio tata yalitokea kipindi cha awamu ya tano tu
 
Kitabu kilitakiwa kusema kiujumla matukio ya miaka mingi wa utawala waa cham tawala sio kuwa biased na mtu kana kwamba matukio tata yalitokea kipindi cha awamu ya tano tu
Chanzo kikubwa cha haya ni awamu ya 5 ya mzee wa chato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…